USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,664
Huwezi kuwaza kama sisi kwa sababu tunayoyapitia kila siku huyajui....
Ingependeza sana ukifanya operesheni kwenye vichwa vya wamarekani wenzio ili watende yanayostahili...!!
Mtu unakesha kwenye internet kuandika upuuzi wako kwa lengo tu la kupotosha ukweli wa matukio...
Wengi wamechoka na suluhisho wanaona lipo kwa kuiondoa ccm.... Haijalishi inaondoka kwa stahili gani...!!!
Mzee kama unazeeka vibaya utuambie.... Hatuwezti tena kuipa ccm miaka mingine 5-10 ikiwa yenyewe imejitenga na waTanzania...!!
Umeishi maisha na ktumia pumzi yako nyingi kupambana kulaghai kuiondoa ccm...leo inakaribia kuondoka ndo unaibuka katika ubora wako kwa rangi zako zote... STAY AWAY FROM US or LEAVE US ALONE.... Shame on you..!! If you are not on our side; you are just like them - you are our enemy..!!
Wapeni waTanzania nchi yao wakiwa bado wapole na wenye shauku ya kuipata kupitia sanduku la kura.... Fanyeni hivyo haraka kwa kusoma alama za nyakati.!
ukiwa rofa kazi kweli etibwapeni watanzania nchi yao hivi akili mnazihifadhi wapi