Wakati umefika wa kuandaa maandamano makubwa ya kulaani mauaji ya vikongwe na albino ktk ukanda wa magaribi!
Mimi nilifikiri imani hizi zimekwisha lakini kwa mujibu wa BBC kiswahili mauaji ya vikongwe yameanza upya tena na kuwatia wasiwasi wenyeji na wakazi wa maeneo hayo!
Serikali, vyama vya siasa, viongozi wa dini, vyama vya kiraia na wananchi kwa ujumla tunaomba tushirikiane ili kumaliza tatizo hili!
Mimi nilifikiri imani hizi zimekwisha lakini kwa mujibu wa BBC kiswahili mauaji ya vikongwe yameanza upya tena na kuwatia wasiwasi wenyeji na wakazi wa maeneo hayo!
Serikali, vyama vya siasa, viongozi wa dini, vyama vya kiraia na wananchi kwa ujumla tunaomba tushirikiane ili kumaliza tatizo hili!