Naibu katibu Mwenezi wa ACT Wazalendo, Shangwe Ayo akiwa pamoja na timu ya wanachama wa ACT jana kuelekea Kigoma ziara ya Operesheni majimaji iliyozinduliwa jumapili Juni 29,2025
Operesheni majimaji imepangwa kufanyika nchi nzima ikiwa ni kuanzia Julai 1 hadi Julai 15, 2025 ikilenga kuwaamsha watanzania kulinda kura zao kuelekea uchaguzi mkuu October 2025
Soma pia: ACT Wazalendo imezindua rasmi Operesheni Majimaji kuelekea Uchaguzi mkuu October 2025
Chanzo: actwazalendo_official
Operesheni majimaji imepangwa kufanyika nchi nzima ikiwa ni kuanzia Julai 1 hadi Julai 15, 2025 ikilenga kuwaamsha watanzania kulinda kura zao kuelekea uchaguzi mkuu October 2025
Soma pia: ACT Wazalendo imezindua rasmi Operesheni Majimaji kuelekea Uchaguzi mkuu October 2025