johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,666
- 143,052
Makamanda naomba ufafanuzi kama ile Operesheni Katiba Mpya Okoa Bandari Zetu, bado ipo?
Maana huku kanda ya Nyasa tumewasubiri MNO.
Sabato Njema 😄
Maana huku kanda ya Nyasa tumewasubiri MNO.
Sabato Njema 😄