Nyumba za wahamiaji (nachelea kutumia haram, binadamu hawezi kuwa haram) zimechmwa, mifugo inaibiwa na familia zinatenganishwa kule Kagera.
Kigoma na Geita kimyaaa! Ukweli ni jk hakuagiza hivyo. Alisema: MIFUGO IONDOLEWE HIFADHINI, NG'OMBE WALIOINGIZWA WARUDISHWE WALIKOTOKA, WAHAMIAJI WALIOPEWA VIBARI NA WATENDAJI WA VIJIJI WARUDISHWE, NA WANAOINGIA KIHOLELA WAFUATE UTARATIBU.
Hajase waliozaliwa hapa na wana mifugo yao waondoshwe haraka, hajasema wenye vibari halali vichanwe na watimuliwe, hajasema wana vijiji wavamie nyumba na kuzichoma eti ni za wahamiaji haram, na kula mifugo yao.
JK, inabidi aingilie kati manake anaonekana analipiza kisasi kwa Kagame, kumbe hakuwa na nia mbaya kiongozi wa watu.
na wewe mwenzao nini?kama ndio tokeni jamani tumewachoka.mlikuja na godoro tu mnaondoka na ng'ombe,gari huoni tumewasaidia vya kutosha?nendeni mkabanane huko huko wanafiki nyie.
home is the best place,they should return to their motherland tanzania belongs to tanzanians no one else.
na watanzania walioko nje? wahamiaj siku zote ni mahustler uenda sehemu nyingine kufata amani au kutafuta maisha.
tena Tanzania ina wahamiaj haramu wengi sana nje ya nchi na ndio wanaowatumia pesa mkilia njaaa.
ukitembea sana nje aya mambo ya wahamiaj haramu utaona kawaida tu.
ni pm nikutumie muariko utoe tongotongo na kusafisha macho uone watanzania wenzetu wanaowatumia ela kwa money gram or western union wanavyo hustle uko nje tena bila kuwa na vibali
Nyumba za wahamiaji (nachelea kutumia haram, binadamu hawezi kuwa haram) zimechmwa, mifugo inaibiwa na familia zinatenganishwa kule Kagera.
Kigoma na Geita kimyaaa! Ukweli ni jk hakuagiza hivyo. Alisema: MIFUGO IONDOLEWE HIFADHINI, NG'OMBE WALIOINGIZWA WARUDISHWE WALIKOTOKA, WAHAMIAJI WALIOPEWA VIBARI NA WATENDAJI WA VIJIJI WARUDISHWE, NA WANAOINGIA KIHOLELA WAFUATE UTARATIBU.
Hajase waliozaliwa hapa na wana mifugo yao waondoshwe haraka, hajasema wenye vibari halali vichanwe na watimuliwe, hajasema wana vijiji wavamie nyumba na kuzichoma eti ni za wahamiaji haram, na kula mifugo yao.
JK, inabidi aingilie kati manake anaonekana analipiza kisasi kwa Kagame, kumbe hakuwa na nia mbaya kiongozi wa watu.
Rwanda si imeendelea kuliko Tanzania? sasa kwa nini wahamiaji haramu watoke nchi iliyoendelea wazamie kwenye nchi isiyo na maendeleo? Hakuna haja ya kulalamika wenzenu wamesaidiwa kuondokana na shida za Tanzania ili wakafaidi matunda ya Rwanda yaliyoletwa na Kagame.
Muache hata yeye jk atapelekwa ICTR kwani hiyo ni genocide hakuna ajabu kwa jk kuwalenga hao watutsi,kwanza kawaita haram,kingine yeye mwewe ni muhutu wa burundi,hakuna cha ajabu hapo,tutegemee mengi,tanzania wanacheza na damu za watu bila kuelewa implication yake hapo baaday
Eeeh bana hao jamaa ni ruthless ukisikia jinsi walivyokua wanawafanyia wenyeji baada ya kupata vibali fake kwa kuhonga usingeliwaonea huruma. Halafu wana hila nyingi nadhani ndio maana nguvu inatumika. Bila hivyo huwezi kuwatoa hao. Pamoja na hivyo sio kama naunga mkono wale wasiokua wakorofi wafanyiwe vitendo vya ubabe au kuhujumiwa haki zao.
Nyumba za wahamiaji (nachelea kutumia haram, binadamu hawezi kuwa haram) zimechmwa, mifugo inaibiwa na familia zinatenganishwa kule Kagera.
Kigoma na Geita kimyaaa! Ukweli ni jk hakuagiza hivyo. Alisema: MIFUGO IONDOLEWE HIFADHINI, NG'OMBE WALIOINGIZWA WARUDISHWE WALIKOTOKA, WAHAMIAJI WALIOPEWA VIBARI NA WATENDAJI WA VIJIJI WARUDISHWE, NA WANAOINGIA KIHOLELA WAFUATE UTARATIBU.
Hajase waliozaliwa hapa na wana mifugo yao waondoshwe haraka, hajasema wenye vibari halali vichanwe na watimuliwe, hajasema wana vijiji wavamie nyumba na kuzichoma eti ni za wahamiaji haram, na kula mifugo yao.
JK, inabidi aingilie kati manake anaonekana analipiza kisasi kwa Kagame, kumbe hakuwa na nia mbaya kiongozi wa watu.
tatizo la rwanda ni ardhi,eneo lao dogo kama mkoa wa Kagera,tatizo ni ardhi wakat tanzania eneo liko bwerere
Kama ni mwanakijiji halali mwenzao kwa nini wakuchomee nyumba? Nadhani wanatambuana hawa ndio maana wanazichoma. Huenda waliwachoka ndio maana wanajichukulia sheria mkononi japo si sahihi kujitwalia sheria mkononi.
Hahaaa.....ataenda kwanza kagame na mu7 huko ICTR kwani ndio waliosababisha genocide huko rwanda na kuwaua wahutu wengi na watutsi!....sasa TZ inacheza na damu za watu hapo kwa vipi? kuambiwa mrudi kwenu ndo kucheza na damu za watu? nyie kwenu kila asiye mtutsi basi ni mhutu...kweli mna laana ya ubaguzi na chuki na itawamaliza! alafu aliwalenga watutsi kwa sababu gani?? yeye Mh Rais alisema "wahamiaji haramu" hakutaja jina la any ethnic group as you try to put it here!...Muache hata yeye jk atapelekwa ICTR kwani hiyo ni genocide hakuna ajabu kwa jk kuwalenga hao watutsi,kwanza kawaita haram,kingine yeye mwewe ni muhutu wa burundi,hakuna cha ajabu hapo,tutegemee mengi,tanzania wanacheza na damu za watu bila kuelewa implication yake hapo baaday
Nami nashindwa kuelewa kwanini baadhi ya wachangiaji wanashindwa kumuelewa rais Kikwete. Kwa yeyote aliyesikiliza hata sehemu ya hotuba yake au kusoma magazeti kesho yake ujumbe wake ulikuwa wazi nao ni- KUPAMBANA NA CRIMINAL ELEMENTS. Hapa ni kupambambana na wahalifu na uhalifu. Kwa wanaofuatilia kwa karibu matatizoya uhalifu unaotokana na uhamiaji haramu hasa katika mikoa ya Kagera, Kigoma, Katavi na kwa kiasi fulani Tabora wataku wanaelewa vyema hali halisi ilivyo kwa kipindi kirefu.Acha uchochezi JK alieleweka vizuri labda tu ulilalia masikio. Wafuate taratibu mbona unawasemea? na kama na wewe ni mhusika fuata taratibu na kingine Kagera wamechoshwa na security instability miaka nenada rudi!!!!!!!!!!!!!111
wenzetu wa mikoa ya kigoma, geita na kagera wanawajua vyema hao wahamiaji haramu na tabia zao, ndo mana labda kweli wanawachomea nyumba ili WAWAHI KURUDI kwao! madhala wanayoyapata wenzetu huko mpakani mwa burundi, rwanda na uganda ni makubwa, ngoja tu hao watu warudi kwao sasaKama ni mwanakijiji halali mwenzao kwa nini wakuchomee nyumba? Nadhani wanatambuana hawa ndio maana wanazichoma. Huenda waliwachoka ndio maana wanajichukulia sheria mkononi japo si sahihi kujitwalia sheria mkononi.