DIUNATION
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,625
- 1,780
kwanza wewe hata ulikua hujui kama kulika na wanyarwanda tanzania umevijua juzi tu,hakuna aliye kataa kuondoka bali muache ukatili,acha watu waondoke kwa amani na mali zao,hivi watu wanachomewa manyumba na kupigwa mishare kisa eti ni haramu,just jiweke nafasi yao wewe utajisikiaje? hakujua kama ungezaliwa tanzania labda ungekua mnyarwanda ungejisikiaje kama yange kutokea,ugomvi wa pk na jk hauwezi kuwa kigezo cha kuwanyanyasa hao watu,hawana haja yakun'gang'ania nchi za watu wasiowataka ndio maana wanaondoka kwa amani,je umesikia muhamiaji kagombana na mtanzani katika zoezi hili? unafikiri hawawezi hilo? ila ni watu wanao heshimu watanzania,therefore waacheni waondoke kwa amani bila kuwapora mali zao.
Kwa taarifa yako ninawafahamu kila kitu nimekaa nao,nimesoma nao na ndio maana nasema muondoke tu nyie sio watu ni wanyama miaka 5 niliokaa nanyi ilitosha kunidhihirishia unyama wenu.