Operation UKUTA: Hit n run tactic

kinacho shangaza zaidi raisi wa nchi ya kidemokrasia anapokuwa juu ya sheria
 
Mshana nakuheshimu na taaluma yako ile ya TV asili,najua umeshachungulia na kuona tarehe mbili itakuwaje,basi nikuombe japo utoe hints kidogo ya siku hiyo itakavyokuwa na kama ukuta utahimili vishindo!
 
Nitashukuru ukinionyesha japo sentence moja ya kashfa...natumia jina halisi naandika kwenye mstari unaokubalika kisheria, kwahiyo siwezi kumkashifu yoyote kwasababu ya siasa au nje ya siasa
Hutumii jina halisi, Mshana ni jina la ukoo na wengi waalitumia, andika jina halisi kama Le Mutuz. Nikiibamba nukuu yako ya kukashifu nitakukwoti, it won't take long...!
 
Mshana nakuheshimu na taaluma yako ile ya TV asili,najua umeshachungulia na kuona tarehe mbili itakuwaje,basi nikuombe japo utoe hints kidogo ya siku hiyo itakavyokuwa na kama ukuta utahimili vishindo!
Dhamira kuu ya UKUTA ni kujipambanua kisiasa kisera na kimkakati, hata maandamano yasipokuwepo ujumbe wake utakuwa tayari umeshavuka milima na mabonge na mawingu
 
Hutumii jina halisi, Mshana ni jina la ukoo na wengi waalitumia, andika jina halisi kama Le Mutuz. Nikiibamba nukuu yako ya kukashifu nitakukwoti, it won't take long...!
Ndio jina langu...post zangu kwenye jukwaa la siasa zipo nyingi sana ....ikitokea ninekashifu nitaomba radhi bila kificho
 
Dhamira kuu ya UKUTA ni kujipambanua kisiasa kisera na kimkakati, hata maandamano yasipokuwepo ujumbe wake utakuwa tayari umeshavuka milima na mabonge na mawingu
Kwa hiyo kwa kifupi tunaweza kusema lengo lake ni kutafuta "KIKI"!?
 
Vipi SANGARA, M4C ,PIIIPOOOZZZ!
Sasa UKUTA!
Slogan zote zimekufa kifo cha mende!
 
Mshana Jr, umeongea vizuri. Hili kundi la mudawote, Lizaboni, rutashobolwa and Co. Ltd, ni watu wa ajabu. Hawajui kuwa haya yote yanayodaiwa kufanywa na JPM ni matokeo ya upinzani, bila upinzani JPM would not have bothered to say all this. Huyu mudawote na kampuni yake wanatukana sana upinzani. Mimi sioni wapi Upinzani ulimtukana JPM, sana sana ni kumkosoa ili arekebishe.
 

Sasa kama Rais anavunja Katiba na Sheria za nchi unataka watu wote wamkubalie tu? ..kubali wewe na walio kama wewe, sisi tutawashikisha UKUTA tu!
 
Vipi SANGARA, M4C ,PIIIPOOOZZZ!
Sasa UKUTA!
Slogan zote zimekufa kifo cha mende!
Hazikufa bali ni mahitaji ya nyakati...! Na kila moja lengo lilifikiwa kwa zaidi ya asilimia 80 ndio maana leo hii huoni jipya kwa ccm zaidi ya CDM , huwezi kuwa na slogan moja miaka yote huo utakuwa ni upuuzi na ujuha wa kiwango chake
ccm wakati wa uchaguzi ilikuwa na slogan ya hapa kazi tuu, baada ya uchaguzi wakaja na slogan ya kutumbua majipu(kiuhalisia haikuwa ya ccm bali ya bob)
Currently Slogan ya ccm kama chama tawala ni ipi,? I mean iliyokubaliwa na vikao ni ipi? Kimsingi hakuna! Kwanini? Usinijibu hapa usinijibu leo hifadhi jibu lako kwa matumizi ya baadae
 

Aisee! Niliposoma hii kitu, nimekumbuka lead story katika gazeti la Mwananchi la leo Ijumaa. CDM inafanya hivyo (operesheni mbalimbali) ili kujiweka katika midomo na masikio ya wananchi (tafsiri yangu). Ni mbinu kabambe sana hii.

Mtukufu mpaka ampandishe Christian Bella jukwaani ndio mambo yaende. Aibuuuu!
 
Mkuu slogan zenu ni za kunogesha hadhara tu.
Piiipoooz sijui imeishia wapi!
Nia ya slogan ni kurahisisha njia ya kwenda Ikulu, lakini slogan zenu zaishia na maandamano, virungu na lupango.
Na slogan ya CCM kama umesahau, HAPA KAZI TU!
 
Sasa kama Rais anavunja Katiba na Sheria za nchi unataka watu wote wamkubalie tu? ..kubali wewe na walio kama wewe, sisi tutawashikisha UKUTA tu!
..mshikishwa ukuta usinitishe. Mbowe ndiye baashahashe wenu. Yaani midume mizima mnashikishwa ukuta baada ya kuzibwa midomo Yaani Mr zero ni kiboko, yeye anaangalia matundu mawili tu, yaani alianza na lile la kuingizia chakula akawaziba na mikaratasi sasa anaenda kumalizia lile la kutolea uchafu kwa mtindo wa unashika ukuta, hahaha mnakazi nyie misukule ya chadema
 
Acha akili za usiku ukimtukana rais umetukana wananchi wrote akili yako dagaa kweli
 
Mkuu slogan zenu ni za kunogesha hadhara tu.
Piiipoooz sijui imeishia wapi!
Nia ya slogan ni kurahisisha njia ya kwenda Ikulu, lakini slogan zenu zaishia na maandamano, virungu na lupango.
Na sligan ya CCM kama umesahau, HAOA KAZI TU!
Hahhahahaaaa masopakyindi you are educated much respect kwa hili lakini siasa isikutoe ufahamu....
Slogans ni kitu cha matumizi ya nyakati in fact ni short term phenomenon kwahiyo huwezi kaa na slogan moja kwa muda mrefu
BTW hapa kazi tu ni self created slogan sio ya chama. ..angalia slogans za CDM zilivyo hit na kufikia malengo yake kwa kiwango cha kuridhisha mno....Nikikuuliza slogans za ccm (official) for the past two years utaishia kunibabaisha tuu
 
Mshana jr hebu liambie na wewe menyewe yakitukana si tusi ila sisi tukitukana milion 7, ata ivo mudawote ni lijinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…