Muda unakwenda, jitahidini muambulie walau madiwani 3
Mbona jitihada zote naziona kwa mikoa ya Tabora, Kigoma na Katavi tu? Huko kwingne je hususan kule kusini?
Watapata madiwani toka jimbo la zzk
Mkuu comments zako nazikubali sana. Nikija supervision hapo Masasi nitakutafuta mkuu. Nimekukubali sana. Hiyo Masasi na kuwepo hospital kubwa kama Ndanda na Mkomaindo bado huduma ziko chini ya kiwango sana. Nitakupa rungu.
shame on u,atakaye waunga mkono nae hazimtoshi.how comes instead of fighting the leading mnatumia nguvu nyingi kupambana na opposition.Tuwaelewe vp kama sio vibaraka mnaoutumika?Elimu mliyonayo haiwasaidii kabisa,mnaziweka mfukoni na kusikiliza akili za kuambiwa.Tutaona mwisho wenu wapi
kajamaa kamevuta fuba za kutosha then kanawahadaa wengine- Pole sana mzee wangu Arfi kuingia kwenye huu mkenge. Huwa naambiwa kuwa uzee ni dawa lakini kwako ni tofauti kabisa kwamba uzee kwako sasa imekuwa ni maradhi - Presha, Pepo punda, Shurua,Kifaduro, Degedege nk.Watapata madiwani toka jimbo la zzk
kajamaa kamevuta fuba za kutosha then kanawahadaa wengine- Pole sana mzee wangu Arfi kuingia kwenye huu mkenge. Huwa naambiwa kuwa uzee ni dawa lakini kwako ni tofauti kabisa kwamba uzee kwako sasa imekuwa ni maradhi - Presha, Pepo punda, Shurua,Kifaduro, Degedege nk.
Kusini kumekatazwa harakati zozote za kisiasa
Ingekuwa njema kama wewe na wewe hapa usingepambana na opposition, Ulichofanya hapa ni kupambana na ACT ambao ni opposition, kwa hiyo kuna utofauti Gani???
mkuu, tawi lenu inabidi mlipe kipao-mbele, maana kwa mwendo huu watazigawaje kura za CDM 2015?Mbona jitihada zote naziona kwa mikoa ya Tabora, Kigoma na Katavi tu? Huko kwingne je hususan kule kusini?