Hata ofisini kwangu Foma Gold wamelipaka rangi haimaanishi nauza Sabuni.Kwanza ofisi kama Gest House.
Taarifa kutoka kwa timu inayoongozwa na KATIBU MKUU Mzalendo Samson Mwigamba.
Tumemaliza majimbo MATATU SINGIDA,majimbo MAWILI TABORA, majimbo MAWILI SHINYANGA.
Leo tumeingia GEITA tukitokea KAHAMA hapa ni jimbo MOJA.
Kesho tunaanza KIGOMA majimbo yote na kisha tutaenda KATAVI majimbo MANNE tutaelekea RUKWA majimbo MAWILI na kisha tutaelekea TABORA majimbo MATATU.
Mpaka sasa timu zetu tatu zimeshafika majimbo 68 ndani ya Mikoa 15.
ACT-Tanzania inazidi kushika kasi.
...aisee acha kumshushia hadhi kijana mzalendo akajiunge na genge la wasaliti, na wachumia tumbo...Hapo cha msingi ni kumchukua polepole aongezee nguvu chama.
Ha ha haa, unanikumbusha kauli ya mbunge wa Nkasi Ally Keissy kuwa anaweza kuyazunguka majimbo yote ya Zanzibar siku moja kwa baiskeli.Mpaka sasa timu zetu tatu zimeshafika majimbo 68 ndani ya Mikoa 15.
ACT-Tanzania inazidi kushika kasi.