Prince Hope
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 2,154
- 447
Operation Kimbunga imeanza kwa mafanikio! Nendeni Mwanza sasa.
Zipo taarifa zisizo na shaka kuwa katika Chuo kikuu kimoja, katikati ya jiji la mwanza mkabala na chuo cha BOT, kuna mhamiaji haramu.
Ni mwajiriwa katika chuo hicho pasi kuwa na uraia, work permit hata elimu stahiki.
Mara zote amekuwa akijitambulisha kama mzaliwa wa Shirati-Mara. Ukweli ni kwamba ni Mganda, kwa lafudhi yake tu, hamtapoteza muda kumrudisha kwao.
Nawasilisha.
Zipo taarifa zisizo na shaka kuwa katika Chuo kikuu kimoja, katikati ya jiji la mwanza mkabala na chuo cha BOT, kuna mhamiaji haramu.
Ni mwajiriwa katika chuo hicho pasi kuwa na uraia, work permit hata elimu stahiki.
Mara zote amekuwa akijitambulisha kama mzaliwa wa Shirati-Mara. Ukweli ni kwamba ni Mganda, kwa lafudhi yake tu, hamtapoteza muda kumrudisha kwao.
Nawasilisha.