KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 876
Raia Wa Liberia anayefahamika kwa jina la Willium Tetto Morris amekamatwa na kwa sasa yupo makao makuu immigration.
Raia huyu anayo ndoa harali na Mtanzania na Imebinika kwamba mnamo tarehe 28/12/2001 , Raia wa Liberia Dr Willium Tetto Morris (PhD) alifunga ndoa na Raia wa Tanzania aitwaye Dr Philis Mishek Nyimbi mfanyakazi wa Hspitali ya Taifa Mhimbili kama Dokta katika kanisa la Angilikani Tanzania makao makuu ST .ALBANI DSM mtaa wa POSTA MPYA na aliyewafungisha ndoa hiyo ni Mch Willium G Kambanga na kupewa Cheti Cha ndoa Namba 0638572 kilichotolewa na Jamuhuri ya Muungano Tanzani.Miazi mitatu baada ya Ndoa hiyo Dr Morris alisafiri na Kwenda USA na kuanza kutafuta VISA ya Mkewe ambaye alikuwa anafanya kazi Mhimbili Hospital.VISA hiyo ilianza kusumbua ndipo Bi Phiris alipokwenda EFATHA Kwa Mwingira kwenda kuombewa na alikutana na Mwingira Uso Kwa Uso.
Taarifa zinaonyesha kuwa Nabii Mwingira alianza mapenzi na Mwanamke huyo na kufanikiwa kuzaa mtoto ambaye jina lake ni Daudi wakati mume yupo USA. Taarifa za awali zinaonyesha kuwa Bi Nyingi na familia nzima walisha kaa kikao na kulalamika bayana suala la yeye kuzaa na Mwingira na taarifa hizo zimeripotiwa Kwa RPC Kibaha kwa jarida KBA/PE/23/2011.Nabii Mwingira anafanya njama hizi ili kukwepa kesi hii ambayo ipo mbioni kufunguliwa ambapo mahakama imetarajiwa kutoa amri Mwingira apime DNA
Hata hivyo Dkt Morris ana kampuni hapa nchini ambayo ina malengo ya Kuanzisha hospital kubwa na vifaa vilisha letwa hapa lakini vinashikiliwa na Mwingira eneo la Kibaha kwa Utapeli.
Vifaa vinavyo shikiliwa vinathani ya Us$6.5mil kama ifuatavyo:
Imetajwa kuwa Mwingira na Emmanuel Nchimbi ni marafiki na hii ndo hila:
Vifaa vinavyo shikilia na Mwingira hadi sasa huku mhusika akifukzwa nchini ni kama ifuatavyo:
INVENTORY OF ITEMS BELONGING TO GLOBAL 2000(2010) INTERNATIONAL
LIST OF MEDICAL EQUIPMENT AND SUPPLIES IN STOREGE:
1 1 PORTABLE X-RAY MERCHINE $900,750.
2 5 ten leads EKG - $20,000
3 2 X ray film developer - $250,000
4 4-Exam tables $10,000
5 Medical supplies (gloves, bandages, needles, syringes, stethoscopes, towels, sterilizers, etc.) - 20 boxes $50,000
6 Rehabilitation bikes – 2 ($4,000)
7 Thread Mill- 1-$5,000
8 Memo plus machine – $1,020,000
9 Transfer Gunnies –2
10 Miscellaneous Medical Supplies (20 boxes) - $750,000
11 1 hemodialysis machine – cost price $2,500,000
12 Clothes - $850,000
13 House hold goods - $750,000
Waandishi muliopo Dar na Pwani fuatilieni sakata hili ili ukweli ufahamike
up date:
Dr William Tetto Morris amesha achiwa na immigration baada ya mgongano kutokea lakini taarifa za ndani zinaonyesha kuwa Maafisa hao wa immigration wamepanga kumufukuza nchini jumatano ya wiki ijayo.
Afisa wa immigration anayehusika anapatikana kwa simu 0767 161 296 .
View attachment 117385
Raia huyu anayo ndoa harali na Mtanzania na Imebinika kwamba mnamo tarehe 28/12/2001 , Raia wa Liberia Dr Willium Tetto Morris (PhD) alifunga ndoa na Raia wa Tanzania aitwaye Dr Philis Mishek Nyimbi mfanyakazi wa Hspitali ya Taifa Mhimbili kama Dokta katika kanisa la Angilikani Tanzania makao makuu ST .ALBANI DSM mtaa wa POSTA MPYA na aliyewafungisha ndoa hiyo ni Mch Willium G Kambanga na kupewa Cheti Cha ndoa Namba 0638572 kilichotolewa na Jamuhuri ya Muungano Tanzani.Miazi mitatu baada ya Ndoa hiyo Dr Morris alisafiri na Kwenda USA na kuanza kutafuta VISA ya Mkewe ambaye alikuwa anafanya kazi Mhimbili Hospital.VISA hiyo ilianza kusumbua ndipo Bi Phiris alipokwenda EFATHA Kwa Mwingira kwenda kuombewa na alikutana na Mwingira Uso Kwa Uso.
Taarifa zinaonyesha kuwa Nabii Mwingira alianza mapenzi na Mwanamke huyo na kufanikiwa kuzaa mtoto ambaye jina lake ni Daudi wakati mume yupo USA. Taarifa za awali zinaonyesha kuwa Bi Nyingi na familia nzima walisha kaa kikao na kulalamika bayana suala la yeye kuzaa na Mwingira na taarifa hizo zimeripotiwa Kwa RPC Kibaha kwa jarida KBA/PE/23/2011.Nabii Mwingira anafanya njama hizi ili kukwepa kesi hii ambayo ipo mbioni kufunguliwa ambapo mahakama imetarajiwa kutoa amri Mwingira apime DNA
Hata hivyo Dkt Morris ana kampuni hapa nchini ambayo ina malengo ya Kuanzisha hospital kubwa na vifaa vilisha letwa hapa lakini vinashikiliwa na Mwingira eneo la Kibaha kwa Utapeli.
Vifaa vinavyo shikiliwa vinathani ya Us$6.5mil kama ifuatavyo:
Imetajwa kuwa Mwingira na Emmanuel Nchimbi ni marafiki na hii ndo hila:
Vifaa vinavyo shikilia na Mwingira hadi sasa huku mhusika akifukzwa nchini ni kama ifuatavyo:
INVENTORY OF ITEMS BELONGING TO GLOBAL 2000(2010) INTERNATIONAL
LIST OF MEDICAL EQUIPMENT AND SUPPLIES IN STOREGE:
1 1 PORTABLE X-RAY MERCHINE $900,750.
2 5 ten leads EKG - $20,000
3 2 X ray film developer - $250,000
4 4-Exam tables $10,000
5 Medical supplies (gloves, bandages, needles, syringes, stethoscopes, towels, sterilizers, etc.) - 20 boxes $50,000
6 Rehabilitation bikes – 2 ($4,000)
7 Thread Mill- 1-$5,000
8 Memo plus machine – $1,020,000
9 Transfer Gunnies –2
10 Miscellaneous Medical Supplies (20 boxes) - $750,000
11 1 hemodialysis machine – cost price $2,500,000
12 Clothes - $850,000
13 House hold goods - $750,000
Waandishi muliopo Dar na Pwani fuatilieni sakata hili ili ukweli ufahamike
up date:
Dr William Tetto Morris amesha achiwa na immigration baada ya mgongano kutokea lakini taarifa za ndani zinaonyesha kuwa Maafisa hao wa immigration wamepanga kumufukuza nchini jumatano ya wiki ijayo.
Afisa wa immigration anayehusika anapatikana kwa simu 0767 161 296 .
View attachment 117385