ukiona mzee anataka kuanza chekechea jua karibia mtapata urithi wenu.
Ni CCM ipi inayoimarishwa maana ndani yake kuna vikundi vingi?
nimeshanga kuona sasa CCM imeanzisha operation hiyo,
Nini mtazamo wenu wakuu
SOURCE; ITV NEWZ SASA.
Ni CCM ipi inayoimarishwa maana ndani yake kuna vikundi vingi?