Opera Mini for NOKIA LUMIA.

Opera Mini for NOKIA LUMIA.

Yah phone yangu ina 512mb kwa ram kubwa sijajua labda wadau watueleze

Sent from my Nokia Lumia
 
chief-mkwawa nielekeze namna ya kufanya hii black update kwene Lumia 1320.. Nikienda kwene phone updates naambiwa your phone is up to date..lakin kwene extras and info wananionesha kwamba naeza pata hii update
 
Last edited by a moderator:
habar JF, cm yang lumia 620,ilidondoka toka kitandan ikavunjika touchscreen,naweza pata spare yake original,na kwa bei gan hapa dar? respect in advance...
 
chief-mkwawa nielekeze namna ya kufanya hii black update kwene Lumia 1320.. Nikienda kwene phone updates naambiwa your phone is up to date..lakin kwene extras and info wananionesha kwamba naeza pata hii update

mbona 1320 ilizinduliwa na black kama sikosei. hebu cheki unaweza kutengeneza folder kwenye homescreen? kama ndio basi una black update.

nenda store kadownload app folder.

sasa hv watu wanasubiria wp8.1
 
Last edited by a moderator:
mbona 1320 ilizinduliwa na black kama sikosei. hebu cheki unaweza kutengeneza folder kwenye homescreen? kama ndio basi una black update.

nenda store kadownload app folder.

sasa hv watu wanasubiria wp8.1

my mistake mkuu.. Limekubali folder kwa desktop.. Na hii wp8.1 tunaipata lini mkuu?
 
habar JF, cm yang lumia 620,ilidondoka toka kitandan ikavunjika touchscreen,naweza pata spare yake original,na kwa bei gan hapa dar? respect in advance...

sh.130000 kule midcom Ali hassan msasani
 
NAjua mnaongelea opera kwenye WP ila mie nna bell ya e6 opera min inazosaport ni 7 na 12 sina uwezo wa kuzoom maandishi na huku yakienea kwenye kioo yaani bila kukatika na kuyumbisha kioo.je napateje ya hivyo na ni link ipi mbali na store yao
 
NAjua mnaongelea opera kwenye WP ila mie nna bell ya e6 opera min inazosaport ni 7 na 12 sina uwezo wa kuzoom maandishi na huku yakienea kwenye kioo yaani bila kukatika na kuyumbisha kioo.je napateje ya hivyo na ni link ipi mbali na store yao

opera ina mode mbili ya simu na desktop view nenda setting halafu eka single column view off utaweza kuzoom na kufanya mambo yako fresh
 
Back
Top Bottom