Mke mwenza ilibaki kidogo nipitwe na huu uzi wa nazjaz kuwatunuku...lol, uwe unanshtua na wewe!Keshasema pepo zenyewe zinasupotiwa na big shoppings, outings na vacations! Unadhani huyu wa sasa hivi hatakaa apigike? Kamuulize mke wa Liyumba ama small houses zake watakusimulia! Dunia duara bebii!
Mke mwenza ilibaki kidogo nipitwe na huu uzi wa nazjaz kuwatunuku...lol, uwe unanshtua na wewe!
Mie nna suali moja tu kwa huyu bibie Nazjaz asiyeishiwa na vituko kila kukicha. Hao wanaume alowatunuku na sasa anasitisha huduma wako humu ndani au???
Mke mwenza niko chini ya miguu yako(ila sikuchungulii) popote utakaponionea Dena Amsi mwambie namtafuta sana! Anidipu mie ntampigia!
Ukiona umeachwa haimaanishi uendelee kung'ang'ania...Kwahiyo una mapepo??
...Feels like crap."simple minds discuss people"... sounds crap
wacha kumzingua mdada bwana, hana mapepo mabaya yake mazuri tuuKwahiyo una mapepo??
Mke mwenza ilibaki kidogo nipitwe na huu uzi wa nazjaz kuwatunuku...lol, uwe unanshtua na wewe!
Mie nna suali moja tu kwa huyu bibie Nazjaz asiyeishiwa na vituko kila kukicha. Hao wanaume alowatunuku na sasa anasitisha huduma wako humu ndani au???
Mke mwenza niko chini ya miguu yako(ila sikuchungulii) popote utakaponionea Dena Amsi mwambie namtafuta sana! Anidipu mie ntampigia!
Mke mwenza ilibaki kidogo nipitwe na huu uzi wa nazjaz kuwatunuku...lol, uwe unanshtua na wewe!
Mie nna suali moja tu kwa huyu bibie Nazjaz asiyeishiwa na vituko kila kukicha. Hao wanaume alowatunuku na sasa anasitisha huduma wako humu ndani au???
Mke mwenza niko chini ya miguu yako(ila sikuchungulii) popote utakaponionea Dena Amsi mwambie namtafuta sana! Anidipu mie ntampigia!
kwenu mabrazameni, waheshimiwa, waume wa watu na wooote wale ambao sikuwatajeni hapa.
Mapenzi ni kitu kitamu sana kwa muda mfupi, haswa yakiwa featured na big shoppings, outings and vacations.
Ukiona umeachwa haimaanishi uendelee kung'ang'ania. Tafuta mwingine.
Ninapo acha huwa nina sababu zangu nyingi tu za kuamua kufanya hivyo.
Kwa sasa sihitaji tena simu zenu za vilio vya kuniomba niwasemehe na kufanya marudiano, wala sitaki simu zenu za ahadi kemkem.
Bahati niliyo watunuku ya kuwaonjesheni pepo ya kitandani imesha pita.
Sasa nimempata wangu, nimpaye pepo na paradiso zote, maraha na mahaba shatashata niliyo nayo na ninayo yajua ni mali yake.
Naomba tafuteni wa aina yenu.