Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,671
- Thread starter
- #861
Pamoja sana mkuu...thanks mkuu your a genius
Pamoja sana mkuu...thanks mkuu your a genius
Salute chief...Ndio maana nasemaga mkuu the bold wewe sio mtu mzuri.....heshima kwako
Ipo mkuu... Let me work on it! Great idea.!Mkuu the bold heshima kwako nakubali sana simulizi zako,ila Nina swali hivi wale maharamia wa somalia walivyokuwa wanateka zile meli hakuna mission yoyoye ya kusisimua ilifanyika katika uokozi au ilikuwa inakuaje?
Inaendelea mkuu... LeoOPERATION BARRAS iendelee bac
Asante sana chief...Hongera sana mkuu
Wewe ni mjinga na mpumbavu kichwani una goroli za beskeli.And "the say"
kwan mkuu kama the bold asingekopi basi hata wew usingesoma.Safi sana mkuu,yani hadi wale wazee wa kukopi na ku paste wanataman masaa yaende uachie nyingine halafu wa kopi,,na kuweka header kubwa kubwa kwenye blogs na magazeti yao.
Hii ni movie aisee nishawahi kuiona weka nyingine tafadhaliMsisitizo: Nifollow na hakikisha umesubscribe kwenye uzi huu ili kupata update za haraka nikiweka kitu
OPERATION ZA KIJASUSI ZA KIHISTORIA ZILIZOFANIKIWA ZAIDI
Niliandika kuhusu Oparesheni Entebbe na kuahidi kuwa nitaandika kuhusu Operesheni nyingine za kijeshi mpaka tukamilishe idadi ya Operesheni tano zakihistoria ambazo zina mengi ya kujifunza na kusisimua.
Leo hii nitaandika kuhusu operesheni hii nyingine ambayo ina mengi ya kujifunza na kusisimua.
OPERATION BARRAS
Mwaka wa Utekelezaji: 10 September 2000
Watekelezaji: British Army
Kitengo cha weledi: SAS (Special Air Services)
Mkuu Heko nasubiri ya Connection kati ya operation thunderbolt na KAGERA war......Salute chief...
Nafahamu moja ya Captain Phillip mkuu Uscoch.Mkuu the bold heshima kwako nakubali sana simulizi zako,ila Nina swali hivi wale maharamia wa somalia walivyokuwa wanateka zile meli hakuna mission yoyoye ya kusisimua ilifanyika katika uokozi au ilikuwa inakuaje?
Mkuu pole sana unajua humu kuna watu wa aina tofauti naomba nimuombee radhi sio busara kutukanana watu wazima jamani af hatufahamiani unaweza kumtusi mkweo humuUnaniita mmbwa wapi nilipo kukosea umesema kumalizia story bonyeza hapa nikabonyeza story ikawa haijaisha nikakwambia mkuu ungemalizia story umetuacha njiani kosa langu hapo nini Mpaka unaniita mbwa kuwa makini usitukane kila mtu ambaye humjui kama hutaki nisome story zako ungeniambia tuu sio kutukama
Kunifollow fungua Jamii Forums kwa kitumia browser kisha nenda kwenye profile yangu utaona kitufe cha "Follow"Nimejaribu Ku follow na Ku subscribe nimeshindwa. Ni fanyeje Mkuu?
Inanigomea. Please Pm or Tag. Nakosa operations on time.Kunifollow fungua Jamii Forums kwa kitumia browser kisha nenda kwenye profile yangu utaona kitufe cha "Follow"