naan ngik-kundie
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 1,766
- 2,420
Leo lazima na mimi nimuwahi Joverest.
Am waitingSAA TATU NA NUSU NITAWEKA SEHEMU YA KWANZA YA OPARESHENI YA PILI
Oparesheni ambayo ilitekelezwa na SAS (Special Air Services) dhidi ya wapiganaji 'masharobaro' makatili nchini Sierra Leon...
Stay tuned...
It is all about fame and fortune. Yoni was a rising military star. He was going up the ladder quickly.Kisa huyo jamaa kumuua ni nini???
One of the comments sum up all..he was very demanding and had issues with some senior guys. I think they wanted him to be out of the picture.https://www.quora.com/How-do-modern...-Yonathan-Netanyahu?share=14a27d86&srid=3pgSD
Ukipitia hiyo link hapo juu utaona baadhi ya watu wameelezea kumuhusu Yonathani Netanyahu.