MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,482
- 20,428
Unataka zisiwepo nyingi ili ikitua moja watu waende kugombania km wanavyopanda mwendokasi kwenda kimara mida ya saa nane tisa, ndege ziwe nyingi, ule usafiri wa kiboss, ziwe nyiiiiingi km vile tupo Qatar pale AirportSekta ya usafiri wa anga imekuwa ndege nyingi zinaegeshwa tu zinzasubili watalii kutoka ulaya
Unafahamu gharama za uendeshaji wa ndege kwa kuiweka hapo ni hasara kubwa sio fahari kuegesha ndege inakula pesa hivyo ilivyoegeshwaUnataka zisiwepo nyingi ili ikitua moja watu waende kugombania km wanavyopanda mwendokasi kwenda kimara mida ya saa nane tisa, ndege ziwe nyingi, ule usafiri wa kiboss, ziwe nyiiiiingi km vile tupo Qatar pale Airport
Uber BajajiNimeona bajaji za jiwe
wrong...hiyo ni GTA vice cityNaona kama GTA 5 hii
Am i right??