Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Sisi wakaazi wa Kibaigwa wilayani Kongwa tunasema Sasa basi.
Miaka 60 madarakani lkn BARABARA zetu zipo hovyoo kiasi hiki?
Kila siku mnajitapa tumejenga barabara za lami oooh mahospitali oooh shulee.
Tazameni jinsi tunavyo taabika sisi wapigaji kura namba moja hapa Tanzania kwa ccm.
Mbunge wetu Ndugai upo wapi mbona umeamua kutukimbia?
Miaka 60 madarakani lkn BARABARA zetu zipo hovyoo kiasi hiki?
Kila siku mnajitapa tumejenga barabara za lami oooh mahospitali oooh shulee.
Tazameni jinsi tunavyo taabika sisi wapigaji kura namba moja hapa Tanzania kwa ccm.
Mbunge wetu Ndugai upo wapi mbona umeamua kutukimbia?