Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 216
Kaizer nyie wenyewe mnadai ukimpeleka mmeo police basi ndoa hakuna tena ..unalionaje hili binamu?
kweli hata mimi mke akinilaza polisi ndooa ndio inakua imeishia hapo!!!!!!! labda aje na yeye tulale wote humo selo ndio atakuwa amefanikiwa kuilinda isivunjike..................