madereva hopeless kabisa...hio mistari inaonyesha hairuhusiwi ku ivertake maeneo hayo....
..abiria lakini wanapenda speed wanawahi......
nimejaribu ku zoom zijalipata vizuri...Yo Yo, hilo ni basi la kampuni gani?kama umeliona vizuri
nimejaribu ku zoom zijalipata vizuri...
.....kuna bus moja la Saibaba la saa 6 mchana dar-arusha wanapanda sana wafanyabiashara wa kichaga hawa wanapenda speed kali ati wanakimbiza pesa.....
nimejaribu ku zoom zijalipata vizuri...
.....kuna bus moja la Saibaba la saa 6 mchana dar-arusha wanapanda sana wafanyabiashara wa kichaga hawa wanapenda speed kali ati wanakimbiza pesa.....
Hilo basi ni la Sumry bila shaka. Hawahi abilia maana safari za dar- Mikoani huwa hakuna kugeuza siku hiyohiyo. Sana sana nafukiri anaiwahi nyumba ndogo. Si unajua tena Madereva wengi kwa kujenga vibanda pembeni hawajamboHilo basi kama scandnavia vile au Fresh ya shamba