Ph-25
JF-Expert Member
- Nov 19, 2012
- 1,159
- 540
Waungwa poleni kwa kazi na miangaiko ya kutwa nzima hop mungu anawajalia jema kila kukicha...
Back kwa topic...
Wanaumeee jamani hali ni mbaya sana,sijui tumekosea wapi ktk suala zima la mahusiano kwakweli.?
Kila kukicha tunaandamwa na wakina {hawa} kua hatujui kutimiza majukumu yetu kwao,pumzi ndogo eti wao route ndefu, jamani hivi ni kweli haya wayasemayo.? Au ni tamaa zao tu za kutaka mambo makubwa kabla ya wakati.?
Na kuichukilia ngono ndio wazo lao kuu ktk mapenzi alafu mambo mengne ya maendeleo wameyapa kisogo.?
Je Nikweli kama wasemavyo tunakumbwa sana na matatizo ya nguvu za kiume au ni uchovu wa shughuli zetu ngumu za kila siku katika kuwatunza wao ndio zina tufanya tuwe tunaitaji kupumzisha mwili,alafu wao wanadai chezoo tu matokeo ndio wana paka mbovu.?
Embu tufunguke jamani tunakosea wapi sisi wanaume.?
Back kwa topic...
Wanaumeee jamani hali ni mbaya sana,sijui tumekosea wapi ktk suala zima la mahusiano kwakweli.?
Kila kukicha tunaandamwa na wakina {hawa} kua hatujui kutimiza majukumu yetu kwao,pumzi ndogo eti wao route ndefu, jamani hivi ni kweli haya wayasemayo.? Au ni tamaa zao tu za kutaka mambo makubwa kabla ya wakati.?
Na kuichukilia ngono ndio wazo lao kuu ktk mapenzi alafu mambo mengne ya maendeleo wameyapa kisogo.?
Je Nikweli kama wasemavyo tunakumbwa sana na matatizo ya nguvu za kiume au ni uchovu wa shughuli zetu ngumu za kila siku katika kuwatunza wao ndio zina tufanya tuwe tunaitaji kupumzisha mwili,alafu wao wanadai chezoo tu matokeo ndio wana paka mbovu.?
Embu tufunguke jamani tunakosea wapi sisi wanaume.?