Dua la kuku Kwani wewe ndio Mungu
Makongoro hana tofauti na Lusinde
Brother pole sana ni kweli Lowassa ni mgonjwa......huo ndio ukweli na sio kwamba watu wanafurahia yeye kuumwa ila mzee anaumwa yule jamani.
kunywa ukitosheka kaa kimya
Dua la kuku Kwani wewe ndio Mungu
Brother pole sana ni kweli Lowassa ni mgonjwa......huo ndio ukweli na sio kwamba watu wanafurahia yeye kuumwa ila mzee anaumwa yule jamani.
Unataka afie kwenye kampen au ikulu ndo ujue kwel anaumwa? Kwan hujui Sumaye kaletwa ili awe 2nd alternative?
Tatizo nn mtu kuambiwa mgonjwa ndio tatizo???? ukawa tumesimamisha Jina kubwa ila hali yake hairidhishi tuweni wakweli fuatilia hotuba ya kujiuzulu ya 2008 na hotuba baada ya kuchukua fomu ya urais ni watu wawili tofauti au labda tuseme mh lowassa ni mzee sana kuliko mh ali mwinyi si ndio????
Kila mtu anaumwa...Brother pole sana ni kweli Lowassa ni mgonjwa......huo ndio ukweli na sio kwamba watu wanafurahia yeye kuumwa ila mzee anaumwa yule jamani.
Mbona kikwete kaongoza miaka 10 akiwa mgonjwa na anamalizia, au hujui anaumwa...? Je wewe mzima?Brother pole sana ni kweli Lowassa ni mgonjwa......huo ndio ukweli na sio kwamba watu wanafurahia yeye kuumwa ila mzee anaumwa yule jamani.
Kwa masikitiko Makubwa sana, nimemsikia mtoto wa rais wa Kwanza wa Tanzania, hayati baba wa taifa, Makongoro Nyerere siku ya leo pale Jangwani wakati wa uzinduzi wa kampeni za urais za CCM akitoa kauli za kejeli, majigambo na vijembe kuhusu Afya ya Edward Lowassa.
Makongoro kwa mbwembwe kabisa na mizaha alikuwa akiwashawishi watu waliokuwa wanamsikiliza pale, wasijaribu kabisa kumchagua Edward Lowassa kwa sababu ni mgonjwa!
Makongoro anadhani ugonjwa wa mtu ni jambo la kufurahia na kushabikia.
Napenda kumkumbusha Makongoro kuwa wakati baba yake(Hayati Mwalimu Nyerere) anampigia kampeni Benjamin Mkapa mwaka 1995 nchi nzima, tayari mwalimu alikuwa ameshagundulika ana ugonjwa wa Kansa ya damu(Leukemia) na wataalamu wake walishamwambia kuhusu Poor Prognosis ya hali hiyo(He was told that, he would die within six years after been diagnosed to have Leukemia). Hakuna mtu alikuwa anajua hilo wakati huo zaidi ya Mwalimu mwenyewe, Daktari wake binafsi(Professa Mwakyusa) labda na wasaidizi wake wa karibu sana wa Mwalimu. Lakini Mwalimu alionekana kwenye kampeni za CCM 1998 akiwa mwenye Afya njema, Furaha na Uchangamfu mkubwa sana. Kwa kifupi tu, tambua ugonjwa wa mtu ni siri ya mtu binafsi na wala sio jambo la kushabikia au kushangilia.
Makongoro tambua siasa ni hoja, tena hoja zenye nguvu. Utu wa mtu ni jambo la muhimu sana. Chunga sana ulimi wako. Ipo siku mwenyezi Mungu atakufundisha kitu katika hili ulilolisema leo pale Jangwani.
Hivi huko kwenu kuzimu CCM, wagonjwa wangapi wanapelekwa India kwa mwaka?
Acheni kujitoa ufahamu! Ugonjwa haupigi hodi! Haya tuelezeni MAGUFULI alienda kufanya nini kwa BABU WA LOLIONDO kama sio mgonjwa! Maana tuna picha zake akipata kikombe!
Bahati nzuri LOWASSA wetu hana hata upele, ni mzima wa afya!
CCM kama mmeshindwa kampeni za kistaarabu, tazameni namna ya kufanya! Kampeni za kukejeli Afya za watanzania wengine zitawaumbua! NAPE anaweza kupata kipindupindu ghafla! Mtasema wana MTAMA wasimchague?
Kifimbo oyeeeeeee
Miwani oyeeeeeeee
Kofia oyeeeeeeeee
Itakuwa alikunywa gongo kabla hajapanda jukwaani maana sio akili za kawaida zile
Mkandara, taarifa za ugonjwa wa Lowassa umepewa na daktari gani?Inahusiana vippi hali ya Lowassa na Mwalimu Nyerere au Makongoro? Huyu Lowassa anagombea Urais akiwa mgonjwa, afya yake mbovu kusemwa hivyo imekuwa kosa? hata mpirani huwezi chagua mchezaji mbovu ati kwa sababu hujafa hujaumbika!.. Kama Lowassa mgonjwa wananchi wana kila haki ya kufahamu maana ni yeye anayegombea Urais.
- Nyerere alipokuwa mgonjwa, hakugombea urais tena bali alienda kutibiwa na kupumzika nyumbani kwake Butiama. haya unayoayasema ni kama unamtukana yeye na sio Lowassa..