gambachovu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,854
- 292
Konnie hivi we wazijua nguo zangu,siyo?Much love ....
kuna mtu atapewa za uso leo,mi nasepa.
ha ha ha, ujue hiki kiwanja changu dili sana?
Kiko karibu na Genji(mmiliki wa vivuko)
ila jamani nimesoma kayumba itabidi mnielewe tu.
Wewe ni mmiliki pia wa vile vivuko?
Usikute kiko karibu na "kilabu" cha mataputapu!
Stricty prohibited...
he he he he, badili tabia, ujue ile mipweint huwa naamua kuimwaga kwa ID yangu ya EMT, mie kipanga hasa kule siasa.
Angalizo: Modi msije mkaunga ID natania tu maana kuna siku yangu iliungwa ya Buchanani afu ikatenganishwa. (natania tu hata hivyo hapa ni chit chat )
Kongosho, kuna uhusiano gani kati ya mataputapu na sikio? Naomba uniambie mlichokuwa mnakunywa usiku huu (na yeyote ulie/uliekuwa nae) ili nami kesho nikanywe! Na ukiniambia nitam-covince "kibogoyo" mwenzio Mwali tukanywe nae.