mbacho massawe
JF-Expert Member
- Apr 24, 2016
- 236
- 213
Natafuta kioo Samsung note5Cover waterproof za simu.
Haziingizi maji na unaweza kutumia simu ukiwa kwenye mvua au unaogelea.
Zinafaa kwa smartphone za aina zote.
Bei 8000sh kwa piece moja.
Waliopo Dar unaletewa popote ulipo na mikoani tunatuma.
Kwa maelezo zaidi tutafute kwa simu namba 0762370433 au WhatsApp +8618454122335
View attachment 1520352View attachment 1520353View attachment 1520354
300,000/= ipo mfuko wa shatiiiIPHONE 6PLUS INAUZWA
64GB STORAGE
1GB RAM
BEI 430000
CALL ME
0769233063
Ushanyooshwa nini kiongozi.Kuna matapeli maarufu kwenye mtandao wa Instagram, hii account yenye jina la zanzibar_electronics_og ni matapeli ambao ukiangalia utadhani ni wafanyabiashara wakubwa kulingana na followers, lakini hawa ni matapeli ambao hawana duka physically na wala hawana bidhaa yoyote, wanawaibia watu kwa kuwaahidi wafanye malipo na kisha watawatumia bidhaa zao, wamekua wanabadilibadili jina la kampuni, walijifanya wapo Darajani, Zanzibar ila kesi zilivokuwa nyingi sasa wamebadili wanadai duka lao lipo Chakechake Pemba, angalizo hakuna duka la electronics hapo kwenye sehemu. Tafadhali tusaidiane kuwaokoa ndugu zetu wasitapeliwe zaidi. Sambaza kwa wengine wengi. Ahsanteni sana.
Mimi hawawezi kwa ujanja huu, I can smell the fish from miles away, ila kuna jamaa yangu yuko Mwanza bado sekunde tu ila aliniwahi kunicheki nikamnusuru.Ushanyooshwa nini kiongozi.
Ndugu upo.?Mi nilishawah kununua sim humu samsung j7 mwaka 2018 na haijawahi kunisumbua mpaka nikaja kuiuza mwaka mmoja baadae. Wazinguaji wapo na watu wema pia wapo, usijumuishe
Kuna matapeli maarufu kwenye mtandao wa Instagram, hii account yenye jina la zanzibar_electronics_og ni matapeli ambao ukiangalia utadhani ni wafanyabiashara wakubwa kulingana na followers, lakini hawa ni matapeli ambao hawana duka physically na wala hawana bidhaa yoyote, wanawaibia watu kwa kuwaahidi wafanye malipo na kisha watawatumia bidhaa zao, wamekua wanabadilibadili jina la kampuni, walijifanya wapo Darajani, Zanzibar ila kesi zilivokuwa nyingi sasa wamebadili wanadai duka lao lipo Chakechake Pemba, angalizo hakuna duka la electronics hapo kwenye sehemu. Tafadhali tusaidiane kuwaokoa ndugu zetu wasitapeliwe zaidi. Sambaza
Asante heri ya mwaka mpya nawe pia jirani..Ndugu upo.?
Heri ya mwaka mpya
Aisee nzurii sana.. yaani ulipotea mazimaN
Asante heri ya mwaka mpya nawe pia jirani..
Nilipotea kidogo lkn sasa nimerudi nipo.
Habar za siku
Harakati za maisha tu best.Aisee nzurii sana.. yaani ulipotea mazima
Vipi Bado huko zenji
Endelea kupambana rafiki, hakuna namnaHarakati za maisha tu best.
Kwa sasa nipo kibaha zenji niloshatoka