ONYO kwa wanaonunua simu humu

Mimi sirudii tena kununua hizo Mali za mkononi sasa hivi nina note 3 naitazama kama furniture tu haitaki kufunguka
 
Hata pia wanaotangaza madawa ya kurefusha na kunenepesha......
Mmojawapo wa kujihadhari sana naye ni anayejiita Ryoba Warioba cm. namba 0745432426 na kunadi duka lake la Entengo Herbs lililoko Temeke mkabala na Temeke Hospital. Huyu ni mtu hatari kwani hata cm yake ameisajili kwa jina la Marwa Alex
 
mbona mm nmepata cm nzr bei chee tena juz leo cku ya tatu naitumia!?? Iphone 5 na nltoa tangazo humu humu habari mchanganyiko wewe ndo uwe makin huenda ni royal in buzness
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…