Mmh, hata mie ni 'wa mtu', vyote vinakutana vya watu.
AAh usitutishe banaa, mbona mabalaa yanawapata watu wengi tena ambao ni mabikra. Ndege zinaanguka, magari yanapata ajali, mafuriko yanatokea kila siku, matetemeko, vita, ebola na magonjwa mengine mengi.....kwahiyo ayo yote yanawapata wazinzi tu?? Halafu kila binadamu hapa duniani ni mfu mtarajiwa kwahiyo sio lazima awe mzinzi.
Kubadilisha mboga muhimu bhana:leo tembele.kesho kisamvu,keshokutwa nyama,mtondogoo................. hapo ndiyo afya inaimarika!
mwanamke heshimu ndoa yako
hv umeolewa unatafta nini nje?
uliolewa kutoa gundu?
uliolewa uwakomeshe mtaa wa pili?
uliolewa kufurahisha wazazi au pesa za m/me?
mwanamke mzinzi ktk ndoa ni mpumbavu na taahira
na mwanaume nawe ulioa umri umeenda?
ulioa kupata mashine ya kufyatulia watoto?
ulioa ili upate receptionist?
mwanamme mzinzi fedhuli na taahira
Unataarifa za matokeo ya sensa iliyopita kwanza?? je kila mmoja akiwa na wake peke yake itakuwaje kwa waliobaki?
As a woman, you cannot claim to be beautiful enough to have any man. Beauty goes beyond the skin, get your own man.