Onyo kwa mpaka rangi kucha

Onyo kwa mpaka rangi kucha

Hehehehehee

Si bora anamchongea nyumbani....

Kuliko wale wadada wa saluni wanaowaosha vichwa.....

Kumbe na nyie mna wivu eeeeh
 
tafadhali sana,kama uko hapa au hauko hapa,kwangu maruufuku.kila baada ya siku tatu eti unakuja kuchonga waif kucha,nikitoka job nakukuta umebeba mguu wa waifu eti unamsafisha.tusije kuonana wabaya.nilijinyima sana kulipa mahari ya laki mbili na nusu so usijifanye mjanja hapa town.tafadhali sana tutaonana wabaya
Ashaliwa mkeo....!!
 
kumnyoa vinyweleo vya kwapani na katikati ya miguu hutaki unajifanya kuona kinyaa...wenzio ndo wanakutafuniaaaaaaaaaaaa mwanaume jitume
 
Uuuuuuh jamani jamani wewe kidume kwahiyo unamuogopa kumuonya Mkeo kwanza Hadi unakuja humu jamani.....

sijaogopa mkuu ila kuna huyu jamaa anataka kunichezea rafu
 
tafadhali sana,kama
uko hapa au hauko hapa,kwangu maruufuku.kila baada ya siku tatu eti
unakuja kuchonga waif kucha,nikitoka job nakukuta umebeba mguu wa waifu
eti unamsafisha.tusije kuonana wabaya.nilijinyima sana kulipa mahari ya
laki mbili na nusu so usijifanye mjanja hapa town.tafadhali sana
tutaonana wabaya

haya mpaka rangi kasikia na yule mkongo man wa salon je? yule mwalimu wa kwaya? na yule anaemletea vipodozi makufuli na jeck ofisini? mwendesha bodaboda manake nasikia anaacha gari car wash anapanda bodaboda kukwepa foleni, kwa mtindo huu utamaliza wengi.
 
haya mpaka rangi kasikia na yule mkongo man wa salon je? yule mwalimu wa kwaya? na yule anaemletea vipodozi makufuli na jeck ofisini? mwendesha bodaboda manake nasikia anaacha gari car wash anapanda bodaboda kukwepa foleni, kwa mtindo huu utamaliza wengi.

samahani mkuu naona sasa unataka kunichanganya,coz naona kila kona maadui,hasa huyo boda boda dah nae siku zake zinakuja
 
Braza kaa mbali na kazi yangu,ohoo sii kaniita mwenyewe?
Iheshm kazi yangu tafadhali,
mbona ww dem wangu anaku massage daily pale berber shop.na huzungumzii kitu,wee wako anauma eeh?
Au nimwambie?mkeo
sorry just fun only
 
Braza kaa mbali na kazi yangu,ohoo sii kaniita mwenyewe?
Iheshm kazi yangu tafadhali,
mbona ww dem wangu anaku massage daily pale berber shop.na huzungumzii kitu,wee wako anauma eeh?
Au nimwambie?mkeo
sorry just fun only

mkuu kumbe ni wewe,andaa kabisa wosia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom