Onyo kwa mpaka rangi kucha

Onyo kwa mpaka rangi kucha

Kozo Okamoto

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2013
Posts
3,391
Reaction score
1,546
tafadhali sana,kama uko hapa au hauko hapa,kwangu maruufuku.kila baada ya siku tatu eti unakuja kuchonga waif kucha,nikitoka job nakukuta umebeba mguu wa waifu eti unamsafisha.tusije kuonana wabaya.nilijinyima sana kulipa mahari ya laki mbili na nusu so usijifanye mjanja hapa town.tafadhali sana tutaonana wabaya
 
Mkuu,mahali ulitoa mwaka gani na je wife wako alikuwa na ujauzito wakati unachumbia??!! Samahani lakini!!!
 
Mkwara huo.!! Kama wewe ni janadume mkanye mkeo na atii hio amri sio kuja hapa jukwaani kuchimba mkwara. Grow up man???

we jitie kimbelembele udhani mkwara,kama we ndo mchonga kucha endelea tu,utakiona unachokitafuta
 
miaka imekwenda kidogo mkuu

Ok,sasa unaonaje wife wako ukamwambia tu yeye kwanza kuwa hiyo tabia ife au unampenda sana huwezi mwambia??!!

Kama kweli hicho kidume ni mpaka rangi za kucha kweli atakuwa jf??!!

Ni hayo tu Mkuu maana yaelekea hakika mpaka rangi amekukera!!!
 
tafadhali sana,kama uko hapa au hauko hapa,kwangu maruufuku.kila baada ya siku tatu eti unakuja kuchonga waif kucha,nikitoka job nakukuta umebeba mguu wa waifu eti unamsafisha.tusije kuonana wabaya.nilijinyima sana kulipa mahari ya laki mbili na nusu so usijifanye mjanja hapa town.tafadhali sana tutaonana wabaya
Hii nayo ni post mkuu. jaribu hata kufungua post za watu na ujibu maswali japo kidogo kuliko kufungua post zisizo na msingi.
 
Jf ya siku hizi bwana!

Napenda kuona forum rules zina apply. Communityyetu inakuwa na ku-mature vizuri pale tunapo pata quality discussion zinazoendana na habits na interest zetu. Admin wengi wetu sasa tunachoka jinsiunavyo administer hii jamii forum. Kwangu imekuwa bonge la bahati kukutata nawatu wenye upeo mbalimbali humu jamvini. The knowledge and friendship we haveexchnaged is invaluable. Japo wengine tulitofautiana na pengine hatakukwaruzana kwenye points Fulani Fulani lakini tuliishia kuwa marafiki wazuri.
The forum hasbeen designed for sharing opinions and helpful information and is open for bothprofessionals and beginners. Lakini naona mwelekeo sikuhizi umepotea bila adminkuchukua hatua. Watu wanafungua thread za hovyo kila kukicha. Wengine wanarudiakufungua threads ambazo zilishafungulia. Mara nimenunua simu ya Tecno, Marablablabla………
This is nonsense.Angalia huyu nae kaja na onyo la mpaka rangi kucha.
 
tafadhali sana,kama uko hapa au hauko hapa,kwangu maruufuku.kila baada ya siku tatu eti unakuja kuchonga waif kucha,nikitoka job nakukuta umebeba mguu wa waifu eti unamsafisha.tusije kuonana wabaya.nilijinyima sana kulipa mahari ya laki mbili na nusu so usijifanye mjanja hapa town.tafadhali sana tutaonana wabaya

Aisee ......

Hivi huyo mkeo hajui kuwa jambo fulani ni baya hadi uje kiuoga humu ukijidai unachimba mkwara?

Inaonekana wewe ni muoga sana

Ungekuwa ni jasiri wala usingepoteza muda wako kuja hapa!
 
Jf ya siku hizi bwana!
Napenda kuona forum rules zina apply. Communityyetu inakuwa na ku-mature vizuri pale tunapo pata quality discussionzinazoendana na habits na interest zetu. Admin wengi wetu sasa tunachoka jinsiunavyo administer hii jamii forum. Kwangu imekuwa bonge la bahati kukutata nawatu wenye upeo mbalimbali humu jamvini. The knowledge and friendship we haveexchnaged is invaluable. Japo wengine tulitofautiana na pengine hatakukwaruzana kwenye points Fulani Fulani lakini tuliishia kuwa marafiki wazuri.
The forum hasbeen designed for sharing opinions and helpful information and is open for bothprofessionals and beginners. Lakini naona mwelekeo sikuhizi umepotea bila adminkuchukua hatua. Watu wanafungua thread za hovyo kila kukicha. Wengine wanarudiakufungua threads ambazo zilishafungulia. Mara nimenunua simu ya Tecno, Marablablabla………
This is nonsense.Angalia huyu nae kaja na onyo la mpaka rangi kucha.
 
Aisee ......

Hivi huyo mkeo hajui kuwa jambo fulani ni baya hadi uje kiuoga humu ukijidai unachimba mkwara?

Inaonekana wewe ni muoga sana

Ungekuwa ni jasiri wala usingepoteza muda wako kuja hapa!

kama na wewe unatabia za mchonga kucha ndo maana unamsapoti arobaini zako zinakaribia
 
Hii nayo ni post mkuu. jaribu hata kufungua post za watu na ujibu maswali japo kidogo kuliko kufungua post zisizo na msingi.

nashukuru sana kwa ushauri wako mkuu,ila sina kumbukumbu nzuri kama niliku pm nikakwambia uje hapa.kama niliku pm basi nisamehe,nitakuwa nimejisahau
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom