Onyo: Abiria ukipakiwa kwa bodaboda, kama hujavaa kofia/helmet wanakutia ndani na faini 30,000

Hiyo sheria ipo ila kiafya wadau hii kitu ni mbaya sana,hebu imagine katika hao abiria kama ana mba kwenye nywele au usoni,au kama ana Chawa kichwani au ugonjwa wowote wa kuambukiza,ni hatari sana.Na kwa sie tunaofuga nywele ndefu ni usumbufu sana,ukipanda bodaboda tatu ujue kabisa nywele zako zitakuwa timtim,hali kadhalika wanawake ambao hawasuki ukiweka style yako lazima ivurugike.
Mkuu mnataka taxi wafe njaa?
 
Kuambukizana mba tu. Hasa kwa wenye nywele nyingi. Nimeweka kalikiti yangu hapa halafu helment ije kuharibu hivi hivi
 
Mji gani huo, maana mimi nipo hapa nilipo kuna traffic police karibu na kituo cha bodaboda wanaondoka na kuingia na abiria wakiwa kibwindabwinda wala hachukui hatua na baadhi yao anagonga nao 5
Wee endelea tu kutokuvaa yakikukuta utakuja gugumia hapa
 
Mji gani huo, maana mimi nipo hapa nilipo kuna traffic police karibu na kituo cha bodaboda wanaondoka na kuingia na abiria wakiwa kibwindabwinda wala hachukui hatua na baadhi yao anagonga nao 5
Ni kweli, inategemea na jamaa utakaokutana nao!

Na mmewaanzishia uzi humu kuwakumbusha ... Shauri yenu.
 
Habari wakuu,

Ukipanda bodaboda dai kofia yako uvae maana ukikutwa na askari wa usalama barabarani hawana huruma. Utatozwa elfu 30 hivihivi.

Kuweni makini.
Hizo kofia zinavaliwa na watu wangapi?acha nife tu kama imepangwa.mimi siwezi kuvaa zile kofia.
 
Usinichekeshe. Si mpaka tusimame. Tusiposama unadhani matrafiki walivyokua na vitambi wataeeza kutukamarta. Lipeni nyie sio mimi
 
Mwisho wangu wa kupanda Bodaboda kwenye Rami umefika , mana huwezi kunivalisha helment ambayo imevaliwa na watu zaidi ya 100 na wakaacha majasho yao...

Nunua Helmet yako uwe unatembea nayo akikupakia unavaa.NImeshawahi ona mwanamke msafi ambaye hayuko tayari kutumia kijiko na umma vya hotel.hutembea na kijiko na umma kwenye pochi anasema hawezi tumia kijiko ambacho kimewekwa midomobi na watu asiowajua!

Kanunue helmet yako
 
Hiyo sheria ipo ila kiafya wadau hii kitu ni mbaya sana,hebu imagine katika hao abiria kama ana mba kwenye nywele au usoni,au kama ana Chawa kichwani au ugonjwa wowote wa kuambukiza,ni hatari sana.Na kwa sie tunaofuga nywele ndefu ni usumbufu sana,ukipanda bodaboda tatu ujue kabisa nywele zako zitakuwa timtim,hali kadhalika wanawake ambao hawasuki ukiweka style yako lazima ivurugike.
Nunua yakwako Kama Unaogopa chawa
 
Kuna fursa hapo naiona!
Fursa kwa trafki au fursa ya kibiashara?
Mimi nasugua kichwa kama kuna waraka au nailon ambalo litakuwa linauzwa special kwa helmet, yani mtu anaanza kulivaa hiko kwanza then inafuata helmet, huo waraka au nailon uwe mgumu kiasi na uweze kuzuia magonjwa ivi na uweze kukunjika kwa wepesi
 
Fursa kwa trafki au fursa ya kibiashara?
Mimi nasugua kichwa kama kuna waraka au nailon ambalo litakuwa linauzwa special kwa helmet, yani mtu anaanza kulivaa hiko kwanza then inafuata helmet, huo waraka au nailon uwe mgumu kiasi na uweze kuzuia magonjwa ivi na uweze kukunjika kwa wepesi
Hio ndio fursa nilioina. Najua nini kinavaliwa kichwani kabla ya helmet.
 
Nash
Hiyo sheria ipo ila kiafya wadau hii kitu ni mbaya sana,hebu imagine katika hao abiria kama ana mba kwenye nywele au usoni,au kama ana Chawa kichwani au ugonjwa wowote wa kuambukiza,ni hatari sana.Na kwa sie tunaofuga nywele ndefu ni usumbufu sana,ukipanda bodaboda tatu ujue kabisa nywele zako zitakuwa timtim,hali kadhalika wanawake ambao hawasuki ukiweka style yako lazima ivurugike.[/QUOTE
Nashaur tununue za kwetu binafs
 
Back
Top Bottom