Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,406
- 79,653
Yaani mtu atapeli watu apate mamilioni umuite mjinga? Wajinga ni hao wanaotapeliwaAtakuwaje Genius wakati anao watapeli ni WAJINGA wenzake ?
Yaani mtu atapeli watu apate mamilioni umuite mjinga? Wajinga ni hao wanaotapeliwaAtakuwaje Genius wakati anao watapeli ni WAJINGA wenzake ?
Yeye ni mjinga sababu na yeye lazima apigwe tu. Mtu mwenye akili hali mali za dhulma sababu anajua zitamgharimu.Yaani mtu atapeli watu apate mamilioni umuite mjinga? Wajinga ni hao wanaotapeliwa
Situeleweshane tu mkuu....Sidhani Kama Kuna haja ya kutukanana. Nimekusamehe lakini.huna akili kabisa alaf utakuta na ww ni graduate
True. Easy come,easy go.Endeleeni kusubiria utajiri wa Kudownload, Mungu hakua mjinga alipowapatia nguvu kibao miilini mwenu!
huenda forex chini ya ontario kuna watu wazito sana wapo nyuma yake,maana kwa nnavyojua jinsi watu walivyokuwa wakilia saaa hizi angekywa ashadakwa zamani na kutokea yale ya mr kuku
Kutapeli watu sio Kwamba wewe una akili hapana ni Suala la kuwa umewapata wajingaaa wa huo utapeli unaofanyaa...!! Ila kwa sasa wajinga wamepungua ni kama Ule utapeli wa Qnet na Global siku hizi humpati mtu.Ni lini matokeo ya chuo yakawa siri? Hata wewe mtu akijua jina lako na umesoma wapi dakika sifuri anaweka matokeo yako hadharani. Kufaulu darasani haijawahi kuwa kigezo cha kupata maendeleo.
Jamaa ana akili..kama kweli anawatapeli watu hadi sasa hivi basi ni genius wa ukweli kwenye sekta hiyo.
Na bado watu watatapeliwa siku zote
Jamaa huwa ni muungwana wewe ndio maana nilikufollowSitueleweshane tu mkuu....Sidhani Kama Kuna haja ya kutukanana. Nimekusamehe lakini.
Asante lakini. Ubarikiwe mkuu.
Kwa lugha nyingine ni hivyo. Una bet dollars/Pounds/Yen au Euro zipande au zishuke thamani ili upate faida.Binafsi sijawahi kuamini mafanikio kwenye kamari.
Kuwapata wajinga means umewazidi akiliKutapeli watu sio Kwamba wewe una akili hapana ni Suala la kuwa umewapata wajingaaa wa huo utapeli unaofanyaa...!! Ila kwa sasa wajinga wamepungua ni kama Ule utapeli wa Qnet na Global siku hizi humpati mtu.
Karibu tena jamvini baada ya kupptea kwatakribani miaka kadhaaSitueleweshane tu mkuu....Sidhani Kama Kuna haja ya kutukanana. Nimekusamehe lakini.
Asante lakini. Ubarikiwe mkuu.
Kwa lugha nyingine ni hivyo. Una bet dollars/Pounds/Yen au Euro zipande au zishuke thamani ili upate faida.
Sent from my POT-LX1 using JamiiForums mobile app
Kuna sababu/matukio mbalimbali zinazofanya fedha kupanda au kushuka. Mfano uchaguzi,ugaidi, kampuni kubwa kufilisika, magonjwa ya mlipuko na matukio mengine makubwa na madogo ya aina hiyo.Duuh mbona hatari unajuaje kuwa zinapanda na kushuka wanatumia viashiria vipi kujua dollars zitapanda?Kwahiyo hii elimu ya kupanda na kushuka Ontario ndiyo anayotoa?
Ontario akamatwe afungwe jiwe kubwa sana shingoni.. tena jiwe liwekubwa sanaa atupwe baharini tena katikati ya bahari...
Mkuu! Shukrani Sana.Karibu tena jamvini baada ya kupptea kwatakribani miaka kadhaa
Huyo ni mfanyakazi wa level ipi serikalini?Hii nguvu mnayoweka kwenye Forex ukiiweka kwenye freelancing unapiga hatua kubwa sana.
Huu utajiri wa kulazimishana kama wa Qnet utawamaliza wengi.
Hao wanaojifanya ni magwiji wa forex nia yao ni kuuza courses, signals na kuhost training.
Ukiwa na darasa la watu 100 tu kwa training ya Tsh 40,000 kwa kichwa una Tsh 4M ndani ya saa moja au mawili wakati pato la jumla la mfanyakazi wa serikali kwa mwaka halizidi Tsh 6M.
Pesa ya bure kabisa!
Huyo jamaa kama kweli ana nia ya dhati ya kuwasaidia vijana watoboe kama anavyojidai anawapenda ni kwanini hawafundishi kuchanganya chakula cha kuku.
Ontario (Sir_Jeff) kule twitter amefeli sana, alianzisha shindano kwa account yake anayotumia ya Sir_Jeff then akampa zawadi mshindi... Ila ujinga ni kwamba account ya aliempa zawadi inasomeka Ontario Kwa tunaomjua kuwa Ontario ndio mwenyewe Sir_Jeff tumecheka sana Eti kaanzisha shindano kisha kajizawadia mwenyewe
Hawezi iba pale..atawaibia wageni wageni sio Tweeps hasa wa twitter..ni wajuaji wa mambo sanaili awaibie kama alivyofanya humu JF....sema Twitter kavurugwa na kigogo hana hamu
Sema Ontario ana tabia za kitapeli.Lakini mimi naona ana tabia za kitajiri.
Matajiri wengi hawakimbilii kujenga.
Wao wanapangisha tu upanga masaki huko.
Sisi kajamba nani ndo tunakimbilia kujenga goba na kerege sijui kibaha.