Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,055
- 74,465
Hakuna Mtanzania mwenye roho nzuri kiasi cha kuona fursa ya kupiga hela na akaacha kuwavuta ndugu zake ili wapige hela na kukimbilia kuwavuta watu baki asiowajua!! Mtanzania huyo hayupo na bado hajazaliwa, labda kama alikuwepo mara ya mwisho ni 1905!! Ukiona mtu anakuvuta kwenye fursa wewe mtu baki badala ya kuwavuta ndugu/ jamaa zake shtuka na kaa nae mbali, hapo kuna dalili ya KUPIGWA!!
Niwaase Watanzania wenzangu, tujitume kutumia vipawa vyetu, nguvu na uwezo aliotupa Mungu kujitafutia riziki zetu kwani hakuna hela inayopatikana kirahisi kiasi hicho, na hata kama ukiipata kwa kuwaibia wenzio basi nakuacha na maneno haya matatu:
1. Wema hauozi
2. Kila baya/zuri litalipwa
3. Mlipaji hafi daima
Niwaase Watanzania wenzangu, tujitume kutumia vipawa vyetu, nguvu na uwezo aliotupa Mungu kujitafutia riziki zetu kwani hakuna hela inayopatikana kirahisi kiasi hicho, na hata kama ukiipata kwa kuwaibia wenzio basi nakuacha na maneno haya matatu:
1. Wema hauozi
2. Kila baya/zuri litalipwa
3. Mlipaji hafi daima