only if i knew this frm the biggining

only if i knew this frm the biggining

don_eddy

Member
Joined
Sep 12, 2011
Posts
8
Reaction score
3
Ckujua kama kuna mitandao ya maana kiac hichi hapa TZ, nailaumu nafc yangu kwa kukosa ufuatiliaji wa mambo yenye maana na manufaa ktk kukuza upeo wa kufikiri na kuchanganua mambo, all in all, nawaomba great thinkerz mnipokee kwa mikon0 yote mlionayo
 
Karibu ukaribie, na jamvi ukalie, umbeani usitutie, japo kunde upakuliwe yakhe. Karibu Muungwana
 
owkey, i'm pleased, ila kupakuliwa.......! hapana bhanaa nimeshiba.
 
Afu mod ww usije ukaniwia mkali mimi eeh? Kumbuka uchakachuaji wote tuliowahi kufanya kwa ushirikiano,lol!
Mgeni karibu sana.
Kwanza nyinyi ndio nawavizia. mnachakachua hadi utambulisho??? 😛hoto:
 
Ckujua kama kuna mitandao ya maana kiac hichi hapa TZ, nailaumu nafc yangu kwa kukosa ufuatiliaji wa mambo yenye maana na manufaa ktk kukuza upeo wa kufikiri na kuchanganua mambo, all in all, nawaomba great thinkerz mnipokee kwa mikon0 yote mlionayo
Sawa mkuu.
 
Usijutie kwa sababu bado haujachelewa. Karibu sana JF the home of great thinkers
 
Karibu sana Jamii Forums ni kisiwa kizuri kwa kila kitu.
 
Back
Top Bottom