Online writen interview za Utumishi wanatoa vipi maksi?

Online writen interview za Utumishi wanatoa vipi maksi?

Mejasoko

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
316
Reaction score
642
Nimetoka kuangalia matokeo ya written iliyofanyika nimeshangaa kwani nilizofanya ilikua na maswali 30 tu Sasa Kuna namna maksi zimekua very accurate hakuna decimal point Wala Nini sijui ni mfumo gani wanatumia kurate maksi?
Maana unakuta mtu ana 95, mwingine 94, 93, 92, 90, 89 88, 87, 86, 85 na kuendelea
Mtiani ulikua ni wa kuchagua rate ya kila swali kwa uwiano wa maksi mia ilikua ni 3.33@swali
Je ni mfumo gani wanatumia PSRS kurate maksi online?
Mwenye ujuzi atueleweshe tuwe na mbinu sahihi ya kuziaproach hizi online interview.
Karibuni wadau
 
Nimetoka kuangalia matokeo ya written iliyofanyika nimeshangaa kwani nilizofanya ilikua na maswali 30 tu Sasa Kuna namna maksi zimekua very accurate hakuna decimal point Wala Nini sijui ni mfumo gani wanatumia kurate maksi?
Maana unakuta mtu ana 95, mwingine 94, 93, 92, 90, 89 88, 87, 86, 85 na kuendelea
Mtiani ulikua ni wa kuchagua rate ya kila swali kwa uwiano wa maksi mia ilikua ni 3.33@swali
Je ni mfumo gani wanatumia PSRS kurate maksi online?
Mwenye ujuzi atueleweshe tuwe na mbinu sahihi ya kuziaproach hizi online interview.
Karibuni wadau
Aptitude test zote online zinasahihishwa na mfumo moja kwa moja na kabla hata hawatoka marks zako unaziona pale pale so unaweza kuwa na swali 20 @ 5 marks au swali 25 @ 4Marks each na mifumo mingine ukijibu swali ukasema Next huwez kurudi nyuma kamwe🙏🙏
 
  • Thanks
Reactions: apk
Aptitude test zote online zinasahihishwa na mfumo moja kwa moja na kabla hata hawatoka marks zako unaziona pale pale so unaweza kuwa na swali 20 @ 5 marks au swali 25 @ 4Marks each na mifumo mingine ukijibu swali ukasema Next huwez kurudi nyuma kamwe🙏🙏
Aisee!
 
Aptitude test zote online zinasahihishwa na mfumo moja kwa moja na kabla hata hawatoka marks zako unaziona pale pale so unaweza kuwa na swali 20 @ 5 marks au swali 25 @ 4Marks each na mifumo mingine ukijibu swali ukasema Next huwez kurudi nyuma kamwe🙏🙏
Kwa Mfumo wa PSRS ikoje....!?
 
Back
Top Bottom