Mejasoko
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 316
- 642
Nimetoka kuangalia matokeo ya written iliyofanyika nimeshangaa kwani nilizofanya ilikua na maswali 30 tu Sasa Kuna namna maksi zimekua very accurate hakuna decimal point Wala Nini sijui ni mfumo gani wanatumia kurate maksi?
Maana unakuta mtu ana 95, mwingine 94, 93, 92, 90, 89 88, 87, 86, 85 na kuendelea
Mtiani ulikua ni wa kuchagua rate ya kila swali kwa uwiano wa maksi mia ilikua ni 3.33@swali
Je ni mfumo gani wanatumia PSRS kurate maksi online?
Mwenye ujuzi atueleweshe tuwe na mbinu sahihi ya kuziaproach hizi online interview.
Karibuni wadau
Maana unakuta mtu ana 95, mwingine 94, 93, 92, 90, 89 88, 87, 86, 85 na kuendelea
Mtiani ulikua ni wa kuchagua rate ya kila swali kwa uwiano wa maksi mia ilikua ni 3.33@swali
Je ni mfumo gani wanatumia PSRS kurate maksi online?
Mwenye ujuzi atueleweshe tuwe na mbinu sahihi ya kuziaproach hizi online interview.
Karibuni wadau