Mkuu ebay ni shopping platform inaounganisha sellers and buyers.. (kwahiyo shipment in African countries ni chaguo la muuzaji)
Hata hivyo wengi huwa hawapendi ku-ship Africa sababu ya usumbufu na uonga wa kutapeliwa...
Anyway kuna njia ambayo unaweza ukatumia kampuni ambazo zinakupa address ya USA ili kila muuzaji ajue upo US, baada ya hapo watafanya consolidation mizigo yako na kukutumia sehemu ulipo, So unaweza ukanunua from A, B, C na D, mizigo ikatumwa kwa hawa jamaa ambao wakakusanya yote na kutuma kama mzigo mmoja..
Angalizo hawa jamaa wa customs busara zao wanaweza wakakulima ushuru hadi ukashangaa na ukaona bora ungenunua Bongo... So jaribu kuangalia ushuru ni kiasi gani kabla haujaagiza
kampuni za mail forwading zipo nyingi jaribu ku-google moja wapo ni
USA2ME, RV Mail Forwarding Services, Remailing, US Mailing Address, Mail Receiving Forwarding