Online purchasing with kaymu

Online purchasing with kaymu

Relativity

Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
60
Reaction score
15
naomba msaada na maelezo ya jinsi ya kununua na kulipia bidhaa kwenye kaymu kwa wale waliowahi kujaribu
 
ingia kwenye web yao na fanya machaguo yako baada ya muda watakutumia message uconfirm manunuzi then watakuletea mzigo mahala ulipo (unaweza kuchagua kuletewa au kuufuata , gharama ya kuletewa si kubwa sana) wapo vizuri ingawa
 
ingia kwenye web yao na fanya machaguo yako baada ya muda watakutumia message uconfirm manunuzi then watakuletea mzigo mahala ulipo (unaweza kuchagua kuletewa au kuufuata , gharama ya kuletewa si kubwa sana) wapo vizuri ingawa
Relativity wako vizuri kama alivyosema Mhandisi Mzalendo maelezo zaidi wapigie kupitia 0715769915

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Je kama unaishi Mwanza watakulelea?

habari ..Kaymu ni e comerce website inayo fanya kazi kwa asilimia mia kama Ebay watuzaji wanafungua account na kuweka bidhaa zao na wanunuzi wana ingia na kununua bidhaa ...Hiki ni kitu kipya Tanzania hivyo basi kwa akazi wa Dar amefaidika na kitu kina itwa cash on delivery _ yani analetewa mzigo hadi nyumbani au ofisini ndio analipia gharama za mzigo na usafirishaji amabpo kwa dar kokote kule ghara ya usafirishaji ni tsh 4000 kwa mzigo chini ya kilo 1 au kumi inategemea duka ulilonunua mzigo amepangiwa kampuni gani ya usafirishaji. Kwa watu wa mikoani kama wewe NYARUGANDO huduma ya cash on delivery bado hawaja anzisha ila ukipenda kitu unaweza kuweka order kwa kubonyeza buy now utapigiwa simu na watu wa Kaymu au mwenye duka nia ya kukupigia ni ku comfirm kama kweli una taka huo mzigo na ku hakikisha stock dukani..pili utapaswa ulipe hela kwa kutuma account ya tigo pesa ya kamuni ya kaymu amabyo ukingia kwenye menu ya tigo pesa namba 4 malipo una chagua jina la kampuni utaona KAYMU uta weka order number yak (200....) kama namba ya kumbukumbu na kiasi unacho paswa kulipia pamoja na hela ya usafirishaji kwa mwanza kwa bidha chini ya 1 kg au 10 kulingana na kamuni ya usafirishaji ni shilingi 10,000 au 12,000 Kaymu wakisha pokea malipo yako uta comfirm nao. na watakusafirishia mzigo wako hadi ulipo mlangoni..na kwa muzaji wa hiyo bidhaa hato pokea hela kwanza hadi kaymu wahakikishe mzigo umekufikia . hivyo ndivyo wanavyo fanya ..... ni kampuni nzuri sana kwani uanweza uza chochote ... pia mteja anweza kufika dukani mwenyewe kuchukua mzigo wake kama hayuko mbali,,
 
Last edited by a moderator:
Je kama unaishi Mwanza watakulelea?

habari ..Kaymu ni e comerce website inayo fanya kazi kwa asilimia mia kama Ebay watuzaji wanafungua account na kuweka bidhaa zao na wanunuzi wana ingia na kununua bidhaa ...Hiki ni kitu kipya Tanzania hivyo basi kwa akazi wa Dar amefaidika na kitu kina itwa cash on delivery _ yani analetewa mzigo hadi nyumbani au ofisini ndio analipia gharama za mzigo na usafirishaji amabpo kwa dar kokote kule ghara ya usafirishaji ni tsh 4000 kwa mzigo chini ya kilo 1 au kumi inategemea duka ulilonunua mzigo amepangiwa kampuni gani ya usafirishaji. Kwa watu wa mikoani kama wewe NYARUGANDO huduma ya cash on delivery bado hawaja anzisha ila ukipenda kitu unaweza kuweka order kwa kubonyeza buy now utapigiwa simu na watu wa Kaymu au mwenye duka nia ya kukupigia ni ku comfirm kama kweli una taka huo mzigo na ku hakikisha stock dukani..pili utapaswa ulipe hela kwa kutuma account ya tigo pesa ya kamuni ya kaymu amabyo ukingia kwenye menu ya tigo pesa namba 4 malipo una chagua jina la kampuni utaona KAYMU uta weka order number yak (200....) kama namba ya kumbukumbu na kiasi unacho paswa kulipia pamoja na hela ya usafirishaji kwa mwanza kwa bidha chini ya 1 kg au 10 kulingana na kamuni ya usafirishaji ni shilingi 10,000 au 12,000 Kaymu wakisha pokea malipo yako uta comfirm nao. na watakusafirishia mzigo wako hadi ulipo mlangoni..na kwa muzaji wa hiyo bidhaa hato pokea hela kwanza hadi kaymu wahakikishe mzigo umekufikia . hivyo ndivyo wanavyo fanya ..... ni kampuni nzuri sana kwani uanweza uza chochote ... pia mteja anweza kufika dukani mwenyewe kuchukua mzigo wake kama hayuko mbali,,
 
Last edited by a moderator:
Kwema wakuu msaada wa kuandika complain kaymu kama umenunua kitu halafu hakija kufikia
 
Back
Top Bottom