Wernery G Kapinga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 381
- 131
Habari wadau.
Kama Kuna yeyote mwenye platform ambayo shule inaweza kutumia kwa kutuma mitihani online kwa wanafunzi wake kipindi Cha likizo, tafadhali anijuze.
Cha msingi sana,
Ahsante. 0657605875
Kama Kuna yeyote mwenye platform ambayo shule inaweza kutumia kwa kutuma mitihani online kwa wanafunzi wake kipindi Cha likizo, tafadhali anijuze.
Cha msingi sana,
- Mwanafunzi awe na uwezo wa kufanyia kwenye simu, iwe smartphone au buttons
- Iwe na uwezo wa mwalimu kuandika mtihani wa wanafunzi kufanya online kwa kadiri ya darasa
Ahsante. 0657605875