Online course, ina nafasi gani katika mfumo wa elimu kwa sasa

ubuntuX

JF-Expert Member
Aug 18, 2014
1,970
2,184
Wakuu

Katika pita zangu mitandaoni, nimekutana na kitu kinaitwa "online course study" hapo ndipo nikaamua kufuatilia huu mfumo wa elimu niujue kiundani lakini nimeshindwa kuuelewa na kuniacha na maswali kadhaa

Huu mfumo unahadhi gani mbele ya ule mfumovuliozoeleka wa kwenda chuo moja kwa moja?

Nimeona wakihitaji wafanyiwe malipo kupitia visa, paypal nk kabla ya kuanza kozi husika, je huu mfumo hauwezi kujiingiza katika utapeli ukiwatumia hela?

Lakini pia nimeshindwa kuelewa yaani unafundishwa vipi na uelewe, utaratibu wao mzima wa kutoa somo uko vipi


Kwa wajuvi wa haya mambo tafadhari mnifumbue katika hili, huenda pia likasaidia wengi hapa jamvini
 
Wakuu

Katika pita zangu mitandaoni, nimekutana na kitu kinaitwa "online course study" hapo ndipo nikaamua kufuatilia huu mfumo wa elimu niujue kiundani lakini nimeshindwa kuuelewa na kuniacha na maswali kadhaa

Huu mfumo unahadhi gani mbele ya ule mfumovuliozoeleka wa kwenda chuo moja kwa moja?

Nimeona wakihitaji wafanyiwe malipo kupitia visa, paypal nk kabla ya kuanza kozi husika, je huu mfumo hauwezi kujiingiza katika utapeli ukiwatumia hela?

Lakini pia nimeshindwa kuelewa yaani unafundishwa vipi na uelewe, utaratibu wao mzima wa kutoa somo uko vipi


Kwa wajuvi wa haya mambo tafadhari mnifumbue katika hili, huenda pia likasaidia wengi hapa jamvini

Umeuliza jambo jema sana ngoja wajuzi Wa haya mambo tuwasikie.
 
Open University wanatumia huo mfumo...OPEN DISTANCE LEARNING Unajisajili kama kawaida unalipia ada benki kama kawaida..Unasajili pia na masomo utakayosomea Kusoma unasomea online (kuna system inaitwa MOODLE kama sijakosea sana) ndani ya huo mfumo wanafunzi wana-interact na lecturers, learning materials zote za somo husika unazidownload kwa mfumo wa pdf...Kama una swali unaweza kumuuliza Lecturer hukohuko..Discussion na assignment pia mnapewa then mnaituma kwenye huo mfumo..Wewe ni kusomea popote tu hata home

Siku ya mtihani ndio mnaenda wote chuoni kwenye Chumba cha mtihani..

Mimi ndio nielewavyo hivyo
 
Open University wanatumia huo mfumo...OPEN DISTANCE LEARNING Unajisajili kama kawaida unalipia ada benki kama kawaida..Unasajili pia na masomo utakayosomea Kusoma unasomea online (kuna system inaitwa MOODLE kama sijakosea sana) ndani ya huo mfumo wanafunzi wana-interact na lecturers, learning materials zote za somo husika unazidownload kwa mfumo wa pdf...Kama una swali unaweza kumuuliza Lecturer hukohuko..Discussion na assignment pia mnapewa then mnaituma kwenye huo mfumo..Wewe ni kusomea popote tu hata home

Siku ya mtihani ndio mnaenda wote chuoni kwenye Chumba cha mtihani..

Mimi ndio nielewavyo hivyo
Shukrani mkuu
 
Back
Top Bottom