Online Comedy bora kabisa kwa sasa hapa Bongo

Online Comedy bora kabisa kwa sasa hapa Bongo

Mau fundi kwangu mkali akifatiwa na joti na Mr beneficial na bwana mjeshi
 
1. Mizengwe
2. Mr beneficial na bwana mjeshi
3. Ili kundi nimelisahau jina ila kuna cha uroo na kazora na jamaa mmoja anajifanya yesu.
4. Masanja huyu ata kama anaongea vitu serious basi uwasilishaji wake lazime ujikute unacheka. Refer wakati magufuri amewaalika wasanii ikulu.
3 vijimambo na jambo
 
Hapana Mkuu....kuna wale anakuwa yupo kwenye gari hivi au popote ansjipigisha simu kama anaongea na MTU mwingine.
Mfano m1 yule jamaa Mpemba Wa yanga.

Sent from my H8402 using JamiiForums mobile app
Hii post inamhusu Claim tz na kuna jamaa mwngne pia ana hyo mambo..kwa kweli somtyme miyeyusho pakikosekana ubunifu
 
Ha haaa...yote kwa yote Okar martin na mwenzie ni mafundi sana, kuna ile anamwelekeza mzee kuchezea pad, mzee kichwa ngumu kumuelewa dogo, dogo si akamtia banzi la kisogo mzee..ha ha haaa
Bwana mjeshi na Mr beneficial wapo vzur pia, Jaymond some tyme anazingua ila yupo poa
"Nikwambiee,yule demu wako mwenye manyonyo makubwa anaolewaa"
 
Back
Top Bottom