ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,628
- 4,970
Habri wana Jamvii.
Siku za hii karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la vijikampuni vinavyotafutia watu ajira. Hivi unafikiri uwepo wa vijikampuni hivi unachangia tatizo la upungufu wa ajira ama la?Unafikiri vina faida kwa watafuta ajira ama ndio vinaongeza matatizo? Unafikiri tatizo la ukosefu wa ajira limekua mtaji kwa wengine na ndio sababu ya kila siku kuanzishwa hizi vitu? Unafikiri waajiri wengi ni waoga wa kumwajiri mfanyakazi direct mpaka wapitie kwa recr agencies? Mi najiulizaga maswali mengi sana kuhusu hawa watu. Hebu anaefahamu a share nami i deas kuhusu hili.
Siku za hii karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la vijikampuni vinavyotafutia watu ajira. Hivi unafikiri uwepo wa vijikampuni hivi unachangia tatizo la upungufu wa ajira ama la?Unafikiri vina faida kwa watafuta ajira ama ndio vinaongeza matatizo? Unafikiri tatizo la ukosefu wa ajira limekua mtaji kwa wengine na ndio sababu ya kila siku kuanzishwa hizi vitu? Unafikiri waajiri wengi ni waoga wa kumwajiri mfanyakazi direct mpaka wapitie kwa recr agencies? Mi najiulizaga maswali mengi sana kuhusu hawa watu. Hebu anaefahamu a share nami i deas kuhusu hili.