bmk
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 571
- 857
Heri ya mwaka mpya?
Kama wewe ni msafiri maeneo mengi sana nchini yanajengwa Vituo vya kujazia mafuta. Mfano ukitoka Dar es salaam kuelekea tunduma...Njiani ni mamia ya vituo yanajengwa hasa kampuni ya "LO". Dah aisee hii kampuni inavituo jamani yaani huwezi tembea 200km hujakutana na kampuni hii...
WACHUMI MTUSAIDIE:
• Hii inamaanisha nini kiuchumi? Kwamba uchumi unakua vizuri hasa ukizingatia moja ya drive za uchumi ni MAFUTA?
• Kama mmegundua ujenzi huu wa kasi umeanza kuanzia mwezi wa nne mwaka 2021...Hii inamaanisha nini kwamba raisi hayati Jpm alibana watu wasijenge AU lile bomba limetengenezewa koki ya pembeni baada ya kuondoka kwake?
• Kama mafuta ni mengi kwa maana ongezeko limekuwa kubwa, kwanini hayashuki bei?
Nitafurahi nikipata majibu hasa ya kiuchumi zaidi.
Ahsante.
Kama wewe ni msafiri maeneo mengi sana nchini yanajengwa Vituo vya kujazia mafuta. Mfano ukitoka Dar es salaam kuelekea tunduma...Njiani ni mamia ya vituo yanajengwa hasa kampuni ya "LO". Dah aisee hii kampuni inavituo jamani yaani huwezi tembea 200km hujakutana na kampuni hii...
WACHUMI MTUSAIDIE:
• Hii inamaanisha nini kiuchumi? Kwamba uchumi unakua vizuri hasa ukizingatia moja ya drive za uchumi ni MAFUTA?
• Kama mmegundua ujenzi huu wa kasi umeanza kuanzia mwezi wa nne mwaka 2021...Hii inamaanisha nini kwamba raisi hayati Jpm alibana watu wasijenge AU lile bomba limetengenezewa koki ya pembeni baada ya kuondoka kwake?
• Kama mafuta ni mengi kwa maana ongezeko limekuwa kubwa, kwanini hayashuki bei?
Nitafurahi nikipata majibu hasa ya kiuchumi zaidi.
Ahsante.