ongea kiingereza baada ya nusu saa

ongea kiingereza baada ya nusu saa

Tyta

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2011
Posts
12,767
Reaction score
10,537
konyagi.jpg
 
niliwahi kusikia dalili ya mtu anayeanza kulewa

  1. ataanza kuongea kwa sauti ya juu kuliko awali
  2. lugha itaanza kuooanda (udhungu)
  3. glass/chupa ataiweka kwa nguvu mezani akidhani meza iko karibu
  4. dada aliyemponda mwanzoni ataanza kumshika shika
  5. kama kuna muziki ataanza kujitikisa taratibu na baadaye kuamka kucheza
  6. usingizi
  7. kujisaidia ovyo
  8. matusi
  9. ...................
 
Back
Top Bottom