Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
Sumu zilizomwagwa na Barrick, zimeanza kufanya kazi, mapato na bei za madini zinatuchenga, bado tunasubiri win win situation tukikusanya 3%!
Lini ripoti ya Bomani itafanyiwa kazi?
Lini ripoti ya Bomani itafanyiwa kazi?