One Plus 5 is Hereee, a Deal Breaker?

mpiga domo

JF-Expert Member
Apr 30, 2013
852
1,502
Habari wakuu,

Nilikua naangalia live launch of One Plus 5 ambayo imefanyika mda mchache uliopita nchini China.

And kwa nilichokiona hii ndo inaweza kuwa simu bora kwangu kwa mwaka huu kutokana na vitu vikuu vitatu.

1. Affordability-Bei yake itakua inaanzia Euro 479

2. Specs-nitaleta list ya comprehensive specs baadaye ila kinilichoni'impress ni 8gb of RAM na 835 snapdragon chip. Hii itasaidia sana kupunguza lagging especially kwa wale heavy users wa online games.

3. Cha tatu ni camera-nyuma kuna camera mbili. Moja ina megapixel 20 na nyingine 16 moja ikiwa na aperture of 1.7 na nyingine ina aperture ya 2.6 kuzipa picha quality ya almost dslr cameras.

Naleta picha zaidi hapa chini.

Kama unataka kurudia kuangalia the live event link hii hapa.

OnePlus 5 - Launch Live Event - YouTube


Kwa nyuma inaonekana hivi. Italeta kelele kwamba wamecopy muundo kutoka kwa iphone 7 plus lakin hii ni kuboresha picture quality. Iphone 8 kuna leaks zinaonyesha kwamba wamecopy display ya samsung 8 so isiwe issue Oneplus kufanya hivi.

e0866684ff4ebd1f8b8a462e744735b5.jpg
 
hawa jamaa naona kila siku wanapandisha bei kidogo,
-one plus one ilikuwa dola 300
-one plus two ilikuwa dola 330
-one plus three ilikuwa dola 400

hii oneplus 5 ni dola 480 sasa, soon watakuwa hawana tofauti na makampuni makubwa.
 
hawa jamaa naona kila siku wanapandisha bei kidogo,
-one plus one ilikuwa dola 300
-one plus two ilikuwa dola 330
-one plus three ilikuwa dola 400

hii oneplus 5 ni dola 480 sasa, soon watakuwa hawana tofauti na makampuni makubwa.

Lakini wana simu bora zaidi ya makampuni makubwa mengine. Acha wafaidi matunda ya ubora wao.
 
Lakini wana simu bora zaidi ya makampuni makubwa mengine. Acha wafaidi matunda ya ubora wao.
hapana simu zao sio bora kuliko makampuni makubwa, wana advantage ya bei tu pamoja na kuweka specification za high end.

ukija vitu vyengine kama camera na display oneplus hawezi fikia kampuni kama samsung,

simu zao ni kwa ajili ya geeks ambao wanataka specs kubwa bila kujali mambo mengine kama camera.
 
hawa jamaa naona kila siku wanapandisha bei kidogo,
-one plus one ilikuwa dola 300
-one plus two ilikuwa dola 330
-one plus three ilikuwa dola 400

hii oneplus 5 ni dola 480 sasa, soon watakuwa hawana tofauti na makampuni makubwa.
me naona pia dola 400 is still cheap uki'compare na other high end phones.

pia ilikuwa wakati sahihi wa One Plus kutoa premium brand ambayo inaweza kuleta ushindani kwa brand kama iphone na Samsung.

pia ikumbukwe cost za uendeshaji zinaongezeka year on year. Cost za 2017 haziwez fanana na za 2015.
 
me naona pia dola 400 is still cheap uki'compare na other high end phones.

pia ilikuwa wakati sahihi wa One Plus kutoa premium brand ambayo inaweza kuleta ushindani kwa brand kama iphone na Samsung.

pia ikumbukwe cost za uendeshaji zinaongezeka year on year. Cost za 2017 haziwez fanana na za 2015.
kwa kawaida cost zinashuka unapotengeneza simu zaidi au kuwa maarufu, sababu hata wale wanaotengeneza vifaa nao wanakuwa na uhakika kuwa ni mteja.

ndio dola 480 bado ni rahisi compare na kina samsung ila sina uhakika kama watu wataendelea kununua, sababu mtu akinunua kitu cha china anaangalia bei, kuna makampuni kama xiaomi wao bado wanauza $370 kwa simu kama MI 6 ambayo ni highend kama hio one plus. even kampuni za kichina kubwa kama ZTE wana Nubia z17 kwa $420 bado hapo kina meizu hatujajua watatoka na nini (pengine exynos flagship kama s8). miaka ya zamani oneplus alikuwa rahisi kushinda wao.
 
hapana simu zao sio bora kuliko makampuni makubwa, wana advantage ya bei tu pamoja na kuweka specification za high end.

ukija vitu vyengine kama camera na display oneplus hawezi fikia kampuni kama samsung,

simu zao ni kwa ajili ya geeks ambao wanataka specs kubwa bila kujali mambo mengine kama camera.
Sio kweli bro,, nina simu ya hiyo kampuni,, ina kamera nzuri,, na inapiga picha na selfies vizuri sana,, kuliko unavyofikiria,, haina tofauti na hizo samsung na iphone,, try it!
 
Chief hiyo Oneplus 5 uki-compare na Xiaomi mi6 kwa kuangalia performance, materials na price
Which is the best choice?
karibia zinafanana kila idara cpu, gpu, ram, etc

tofauti ipo kwenye
-one plus camera yake ina megapixel nyingi
-one plus ina port ya earphone
-mi 6 battery yake ni kubwa kwa 50mah

ila wingi wa megapixel au mah haumaanishi ndio picha au kukaa na chaji kutakuwa kuzuri, ukisubiria reviews ndio utajua mengi zaidi.
 
hizi kama zingekuwa zinaingia kwa wingi hapa bongo sidhani kama tungenunua samsung,lg,htc na sony
kwanza simu zao ni bei rahisi,RAM wanaanza na 4gb na kuendelea.
Tatizo sijajua kwanini hawa wafanyabiashara hawazileti hizi simu
 
Wachina wanachekesha jinsi wanavyofanya mambo muda mwingine, yaani wanaweka hadi waigizaji kwenye launch!
Simu iko poa ila the presentation is shitty.
 
hizi kama zingekuwa zinaingia kwa wingi hapa bongo sidhani kama tungenunua samsung,lg,htc na sony
kwanza simu zao ni bei rahisi,RAM wanaanza na 4gb na kuendelea.
Tatizo sijajua kwanini hawa wafanyabiashara hawazileti hizi simu
moja ya sababu inayozifanya ziwe bei rahisi ni kwamba zinauzwa online tu, wangekua na physical store, wakafungua na vituo vya huduma kwa wateja na mambo yahusianayo bei ingepanda.
 
Back
Top Bottom