min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 58,066
- 166,584
Ni lini sisi CHADEMA hatukuwalalamikia CCM kwenda kinyume na katiba toka enzi na enzi na Nchimbi akiwepo?
Wamepotezwa watu kibao, kina Saanane wamepotea ila Nchimbi ziiiiiii.
Upinzani umetekwa na upepo wa kipumbavu sana wa maslahi binafsi, na yenyewe kwa sababu ni viazi watupu yamejaa kama zuzu tu, gademitt yamejaa kwenye 18, takata kabisa, mchezo bado upo sisiem 🤔
Haya yanayofanyika ni kwamba maslahi binafsi tu yameshikwa, amkeni nyie vilaza, acheni kupelekwa pelekwa na matukio kama mwanasesere!
Note: Nimelewa mno hivyo unaweza nipuuzia tu mlevi mimi.
Cc. Bufa
Wamepotezwa watu kibao, kina Saanane wamepotea ila Nchimbi ziiiiiii.
Upinzani umetekwa na upepo wa kipumbavu sana wa maslahi binafsi, na yenyewe kwa sababu ni viazi watupu yamejaa kama zuzu tu, gademitt yamejaa kwenye 18, takata kabisa, mchezo bado upo sisiem 🤔
Haya yanayofanyika ni kwamba maslahi binafsi tu yameshikwa, amkeni nyie vilaza, acheni kupelekwa pelekwa na matukio kama mwanasesere!
Note: Nimelewa mno hivyo unaweza nipuuzia tu mlevi mimi.
Cc. Bufa