Hii dhana ya kuchezewa ndo siielewagi. Kumchezea ndio nini. Kakubali kwa hiari yake. Tena unamwambia kabisa una mke lakini anakupa tu. Anakupa na mbinu mfanye nini mkeo asijue. Akiwd na ny.ege zake ye mwenyewe anakuita ukamhudumie. Ukimzuga huna hela ye anakwambia anazo. Ndo kumchezea huko? Utamchezeaje mtu mwenye hamu yake?
Acheni kuwa selfish, kuna wanawake kibao hawana wanaume na wao wanahitaji huduma zetu.
NB. Linapokuja swala la necha hakuna tofauti ya mnyama na binadamu. Wote tunakula, tunakunywa, tunakuny.a na tunajamiana. Samesame.