once a player, always a player

okay sijui, at least Nimeona na wahusika wamenisimulia yanayowakuta.
Naona ni vema tujifunze hasa nyakati hizi za wanawake kuforce ndoa na kugombea wanaume.

Like like like....
Ikifika muda wa kufanya haya maamuzi naogopa sana, nina hofu aisee
 
huyo shoga ako nae akome.anavuna alichopanda!
Ss yy alilazimisha ndoa ya nn?
..unajua huwa tunasahau kuwa kila kitu kina gharama zake!lazima alipe gharama!
...ndoa ina misingi yake!ukienda kinyume lazima ukubali kulipa gharama!
...mshauri amrudie Mungu,afanye toba then aombe san tu kwaajili ya hiyo familia yake!
 

Aisee..........
 
Pole sana mdada najua yamekukuta mabwaku !!
Things shall never be the same !!
Hakuna kilichonikuta, hayo yamewakuta ndugu zangu nlio nao ktk jamii. Sio lazima kitu kikukute eti ndo useme,kama unavoandika wewe vimekukuta pole na sio kila mtu amekutwa na anachozungumzia.
 
asante kwa mchango wako, tujifunze kutokana na makosa yake
 
Ambao ni wachache saaaana ukilinganisha na utitiri mkuuubwa wa wanawake unaohitaji huduma ya wanaume.

Kuna utafiti umefanyika huku Afrika na huko Amerika, Ulaya na Asia kuwa ndani ya miaka 10 ijayo wanaume watakuwa wengi mara mbili ya wanawake. Sijui itakuwaje hapo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…