Ona mwingine, eti naye huyu ana busara

Ona mwingine, eti naye huyu ana busara

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
50,136
Reaction score
96,161
Mtavunjiwa heshima bure kwa ajili ya uroho wa kula na kunya!
1. Utekaji
2. Uuaji
3. Ufisadi
4. Kuiba uchaguzi
5. etc

hivi havimvunjii mwalimu heshima.

Bure kabisa mabichwa mazee makubwa hamna kitu

20251208_175859.jpg
 
Mtu pekee nayeweza kumpa sikio kuhusu amani ni yule anayekemea mauaji na wauaji. Eti unashauri kuhusu maandamano ila kuhusu mauaji upo kiiiimyaaa. Kama vile walikufa kuku
 
Kwani hawa wakuniita wazee wakati raia wa kawaida wanalia na madhira na kuangua vilio mbona hawakuja kulia na wananchi? Ama wapo kwa ajiri ya "class" fulani?

Na yeye si anamiliki mambo kibao huko kusini magharibi na alishachagua kulima leo kimemkuta kipi sasa?
 
Mtavunjiwa heshima bure kwa ajili ya uroho wa kula na kunya!
1. Utekaji
2. Uuaji
3. Ufisadi
4. Kuiba uchaguzi
5. etc

hivi havimvunjii mwalimu heshima.

Bure kabisa mabichwa mazee makubwa hamna kitu

View attachment 3513088
Anasema kuandamana siku ya uhuru ni kumvunjia heshima Nyerere Je aliyezifuta kabisa sherehe huyo tumuitaje hana adabu.
 
Mtavunjiwa heshima bure kwa ajili ya uroho wa kula na kunya!
1. Utekaji
2. Uuaji
3. Ufisadi
4. Kuiba uchaguzi
5. etc

hivi havimvunjii mwalimu heshima.

Bure kabisa mabichwa mazee makubwa hamna kitu

View attachment 3513088
Kati ya wazee wa hovyo..
Ambaye Hana Cha wafipa kujivunia.
Mzee wa hovyoooo....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom