Ona hiyo miguu

Ona hiyo miguu

kawaida ya wachaga kuwa na maumbo sexable!!

but kunako 6*6 nackia kuna less standard!!

kwanini ama wanawaza hela tu everytime?

futa kauli yako wanajua mambo hao though pesa inatia chachu ya mapenzi kuliko ukiwa hauna hela inasumbua akili kidogo. mapenzi na njaaa si sawa.
 
Amejaaliwa. Sijui ndio atakuwa anatumia mafuta na sabuni za Samona Herbal ndio maana ana shine.

siri ya ngozi nyororo isokuwa na alama ni moja tu nimegundua,
upende kuvaa nguo ndefu yaani usichomwe na njua wala usije ukajiumiza kwa kujikwaruza mahali.

Lakini pia nunua mafuta ya swiss collagen pamoja na baby johnson baby oil usiweke glycerine ila changanya kidogo baby oil kwenye swiss collagen. upake mwili mzima kila eneo. YAANI utaushangaa unyororo wa ngozi yako.

mie siku hizi ngozi imekuwa kama ya mtoto mchanga hata makovu niliyopata kwenye ajali yamefutika kabisa najishangaa kwa jins ngozi ilivyokuwa nzuri.
 
Kama msukuma wa kibosh a kumbe kibosh ni Moshi a Kilimanjaro, msukuma wa Ishinabulandi jamani
 
siri ya ngozi nyororo isokuwa na alama ni moja tu nimegundua,
upende kuvaa nguo ndefu yaani usichomwe na njua wala usije ukajiumiza kwa kujikwaruza mahali.

Lakini pia nunua mafuta ya swiss collagen pamoja na baby johnson baby oil usiweke glycerine ila changanya kidogo baby oil kwenye swiss collagen. upake mwili mzima kila eneo. YAANI utaushangaa unyororo wa ngozi yako.

mie siku hizi ngozi imekuwa kama ya mtoto mchanga hata makovu niliyopata kwenye ajali yamefutika kabisa najishangaa kwa jins ngozi ilivyokuwa nzuri.

so mabaka yanaisha kabisa?na yanauzwaje?
 
kawaida ya wachaga kuwa na maumbo sexable!!

but kunako 6*6 nackia kuna less standard!!

kwanini ama wanawaza hela tu everytime?

Bold - Mtawasema saaaana ila mtaishia kunawa...Wenzenu twala.
 
ma lito bro Excellent hivi ulisha mwambia huyu Heaven on earth mimi ni nani??
mwambie kabisa kwamba dada yako niko hapa nakulinda asikufanyie fujo.

BTW nimekumiss sana mdogo wangu halafu sim yako haipatikan

Kumbe we ndio dada ake Excellent.....nafurahi kukufaham jamani

ila mfikishie ujumbe mdogo wako that "Somebody LOVES him".......
 
Last edited by a moderator:
ma lito bro Excellent hivi ulisha mwambia huyu Heaven on earth mimi ni nani??
mwambie kabisa kwamba dada yako niko hapa nakulinda asikufanyie fujo.

BTW nimekumiss sana mdogo wangu halafu sim yako haipatikan
My sis gfsonwin Sijamwambia bado ila nitamweleza leo,nimebadili number my sis na nitakutafuta usijali,nakupenda sana
 
Last edited by a moderator:
Na hii ndio njemba iliyokuwa inamiliki hiyo miguu...

Katauti%204.JPG
 
Back
Top Bottom