kufikia 2016 mwishoni G+ watakuwa na users zaidi ya Facebook. Kama unavyojua 90% ya mapato ya facebook yanatokana na adverts, miezi kumi na mbili ijayo 53% ya digital marketers wataamia G+.
kwa hiyo mtoa mada hadanganyi.
source:huffingtonpost
kim garst, Social media and brand strategist, [h=1]Social Media Marketing World 2014 - 5 Trends You want to Jump on NOW![/h]