Ona faceboook anavyokimbizwa...

KAJICHO KIVULI

JF-Expert Member
Jul 30, 2013
2,061
545
428.gif

 
kufikia 2016 mwishoni G+ watakuwa na users zaidi ya Facebook. Kama unavyojua 90% ya mapato ya facebook yanatokana na adverts, miezi kumi na mbili ijayo 53% ya digital marketers wataamia G+.

kwa hiyo mtoa mada hadanganyi.
source:huffingtonpost
kim garst, Social media and brand strategist, [h=1]Social Media Marketing World 2014 - 5 Trends You want to Jump on NOW![/h]
 
Ooyooo hii kwa watoto wa kizungu watakuwa wanaipenda hii picha lakini kwa watoto wa kibantu NO labda ni dona na mandondo na kipande cha nguru na hapo ni kitumbo juu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom