Hahaha jamani wanaume kama wewe hakunaga atii. Yaani unakuta matongozo, unawasha moto na unaambiwa njoo chukua mkweche wako tuachane. Halafu wewe ndio unabembeleza myamalize?
Shkamoo mdogo wangu.
Wapo wachache mnooooo alafu hawanaga bahati ya kupendwa
Huyu anahitaji bahati ya kutibiwa. Anaumwa akili huyu. Yaani unafumnia halafu unaomba msamaha?
Hehehe dah
Hahaha jamani wanaume kama wewe hakunaga atii. Yaani unakuta matongozo, unawasha moto na unaambiwa njoo chukua mkweche wako tuachane. Halafu wewe ndio unabembeleza myamalize?
Shkamoo mdogo wangu.
Ukute tangu mwaka uanze hujawahi kumpa mama yako zawadi au hata kumtumia ka 50, leo unahonga gari kwa mtu hata mkataba wa maisha hamna...! Pole sana!!!!!!!
Wewe kweli boya, umnunulie mwanamke gari wewe usote kwa miguu? Nafikiri umejifunzia chupi kwake na unataka kumalizia hapo! Umelishwa nyama ya pochinini? Huyo ni mama au babako umpe gari? Mungu niepushe mtoto kama huyu ntaua.